Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali
Share
Notification Show More
Latest News
Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia
September 22, 2023
Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
September 22, 2023
Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni
September 22, 2023
Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba
September 22, 2023
Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > BreakingNews > Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali
BreakingNewsTop Stories

Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali

September 7, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Chama cha Mapinduzi kimesema kuwa kinafuatilia kwa ukaribu na kuhakikisha wasanii watatu ambao ni Luludiva, Belle9 na Bonge la Nyau ambao wamepata ajali hii leo wakati wakitokea mkoani Iringa wanapata matibabu haraka.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika.

“Chama Cha Mapinduzi tumepokea kwa mshtuko taarifa za ajali mbaya ya gari iliyowahusisha wasanii Belle9, Luludiva na Bonge la Nyau, tunafuatilia kwa ukaribu kuhakikisha wanapata huduma ya matibabu haraka na tunamwomba Mungu awape wepesi na kupona haraka” Polepole

LIVE: KUTOKA CHALINZE LULU DIVA, BELLE 9 NA BONGE LA NYAU WAPATA AJALI CHALINZE

You Might Also Like

Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia

Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York

Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni

Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba

Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA September 7, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Nimeacha kula, kunywa nitafariki hivi karibuni, nitarusha LIVE kifo chang”
Next Article Aliekuwa Rais wa Mali apelekwa nje ya nchi kwa matibabu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia
Top Stories September 22, 2023
Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
Top Stories September 22, 2023
Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni
Top Stories September 22, 2023
Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba
Top Stories September 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia

September 22, 2023
Top Stories

Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York

September 22, 2023
Top Stories

Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni

September 22, 2023
Top Stories

Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?