Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Ukiwa na njaa utafanya lolote hata kudanga nitadanga nipo serious’ Gigy Money
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > ‘Ukiwa na njaa utafanya lolote hata kudanga nitadanga nipo serious’ Gigy Money
Habari za Mastaa

‘Ukiwa na njaa utafanya lolote hata kudanga nitadanga nipo serious’ Gigy Money

May 17, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Muimbaji Gigy Money amewajibu watu waliokuwa wakimsema kuwa ameanza kufanya kazi kabla ya arobaini ya mtoto kitu ambacho siyo kawaida kama ilivyozoeleka, ambapo yeye kasema kuwa anafanya vile ili kumsaidia mwanae na atafanya lolote kwa ajili ya mtoto wake.

Gigy Money ambaye amewajibu watu hao kwa kuandika ujumbe wenye mafumbo kupitia Instagrama yake ameandika hivi……>>>“Ogopa sana mapenzi ya mama na mtoto yani Mama anaweza kujikuta anafanya lolote kwa ajili ya kesho ya mwanae ata awe chizi hawezi kumtupa mwanae haijalishi wakati wa mimba mangapi yamepita nachowaza saivi ni binti yangu tu ataaa kudanga ntadanga npo serious mjue nawale ambao mnanitukana kwann kipindi hiki nafanya kazi natoka kabla ya 40 Naomba”

“Niwajibu kiufupi kama mkubwa utaelewa kama mtoto endelea kunijazia comments za matusi yaaani ni iviii (utamaduni wa mtanzania ni njaaa ukiwa na njaaa unaweza fanya lolote sidhani kama ningekua napewa kila kitu ningetoka tu) so usilaumu kitabu tu kwasabu juu umeona fuvu ukajua iko kitabu kinahusu mazombie …. kisome kwanza. Ndio uogope Muwe na siku njema” – Gigy Money

Shilole ameingiza tani Moja ya Pilipili zake Sokoni, kafunguka Hapa

MWIJAKU “Mc Pilipili ameshindwa kumhudumia mtoto, kimaisha hawezi kunipata”

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

TAGGED: Bongofleva, bongoflevanews, Social media NEWS
Victor Kileo TZA May 17, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Padri anayehuburi Injili kwa ku-rap (+video)
Next Article Ladies & Gents ni time ya Nandy kwenye bidhaa zake mpya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?