Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wasimamizi wa kazi za Prince wamezikataa Dola milioni 40 za Jay Z
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Wasimamizi wa kazi za Prince wamezikataa Dola milioni 40 za Jay Z
Habari za Mastaa

Wasimamizi wa kazi za Prince wamezikataa Dola milioni 40 za Jay Z

November 14, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Rapper Jay Z alituma barua ya maombi  kwa uongozi wa legend wa muziki Marekani  marehemu Prince, na kuomba umiliki wa nyimbo zake ambazo mpaka kifo chake alikuwa hajazitoa. Inasemekana Jay Z alitenga dola za kimarekani milioni 40 kwa ajili ya kukamilisha deal hilo.

Baada ya kuzungumza na uongozi wa Prince umekataa kusaini deal hilo na rapper huyo, ukidai kuwa Jay Z alishawahi kuziachia albamu 15 za Prince kwenye mtandao wake wa Tidal miezi michache tu baada ya Prince kufariki bila kibali chochote, na wanaamini Jay Z aliingiza pesa ndefu hivyo kuna uwezekano wa kumfungulia rapper huyo kesi ya madai.

jay-z-prince1

Hata hivyo inasemekana uongozi unaosimamia kazi za Prince unafahamu Jay Z alikubaliana na Prince kuwa atasimamia albamu yake ya “HitNRun Phase One” ya mwaka 2015 lakini hakuna nyaraka za mikataba zinazoonyesha malipo ya dolla 750,000 ambazo ndio zilipaswa kulipwa ili kufunga mkataba.

VIDEO: Kama ulimiss hii EXCLUSIVE: Nyumba ya milioni 700 wanayoijenga Navy Kenzo>>>

VIDEO: Gharama zilizotajwa kwenye malipo ya Nyumba aliyonunua Diamond Platnumz South Africa>>>

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: JAY Z, Marekani
Admin November 14, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Headlines za Magazeti ya Zimbabwe baada ya ushindi dhidi ya Taifa Stars
Next Article PICHA 20: Muonekano wa barabara za Harare Zimbabwe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?