Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PURA yaeleza ilivyojipanga kusimamia mradi wa LNG
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > PURA yaeleza ilivyojipanga kusimamia mradi wa LNG
Top Stories

PURA yaeleza ilivyojipanga kusimamia mradi wa LNG

May 12, 2022
Share
3 Min Read
SHARE

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli(PURA) imeeleza kuwa imejipanga kikamilifukusimamia mradi wa kubadili gesi asilia kuwakimiminika (LNG) ili kuhakikisha mradi huo unaletatija na kuchangia maendeleo ya uchumi nchini.

 

Hayo yamesemwa na Mjiolojia Fortunatus Kidayialipokuwa akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa waLindi, Mhe. Zainab R. Telack aliyetembelea banda la PURA katika Maonesho ya Tano ya Mifuko naProgramu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumiyanayoendelea mkoani Morogoro.

 

Alifananua kuwa miongoni mwa majukumu ya PURA kwa mujibu wa Sheria ya Petroli ya mwaka 2015 nikusimamia mradi wa LNG. Mradi huu unalengakuvuna gesi asilia iliyogunduliwa kina kirefu cha bahari nchini kwa ajili ya matumizi ya ndani na kiasikingine kuuzwa nje ya nchi.

 

“Mradi huu ni wa thamani ya Dola za Marekani bilioni30 na unatarajiwa kutekelezwa eneo la Likong’omkoani Lindi na PURA imeendelea kujiimarishakiutendaji ikiwemo kuendelea kuwajengea watumishiwake uwezo katika eneo la LNG” alieleza Bw. Kidayi.

 

Aliongeza kuwa PURA imejipanga kuhakikishaWatanzania wanapata fursa ya kushiriki katika mradiwa LNG kupitia ajira na utoaji wa huduma na bidhaakatika kipindi chote cha utekelezaji wake.

 

“Katika kufanikisha hilo, PURA kwa kushirikiana naEWURA imeandaa kanzi data ya kuwasajili watoahuduma wa Kitanzania na wazawa wenye taalumambali mbali ikiwemo masuala ya mafuta na gesi. Kanzidata hiyo inajulikana kwa jina la Common Qualification System (CQS) na iko tayari kutumika,” alibainisha.

 

Aliongeza kuwa “mradi wa LNG unatarajiwa kuletafursa nyingi nchini ikiwa ni pamoja na ajira zaidi 6,000 na ikiwa ni pamoja na fursa za kuuza bidhaa nahuduma wakati wa utekelezaji wa mradi huo. Serikaliilishatoa Shilingi bilioni 5.7 kulipa fidia kwa wananchizaidi ya 640 waliopisha utekelezaji wa mradi. Aidha, majadiliano baina ya Serikali na kampunizitakazotekeleza mradi wa LNG yanaendelea nayanatarajiwa kukamilika hivi karibuni“.

 

Kwa upande wake, Mhe. Telack ameipongeza PURA kwa kusimamia suala ushiriki wa Watanzania kwenyeshughuli za mkondo wa juu wa petroli, na kusemakuwa wananchi wa mkoani humo wanasubiri kwahamu kuanza kwa utekelezaji wa mradi huo nakwamba ana imani watapewa kipaumbele wakati wautekelezaji wake.

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA May 12, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article A$AP Rocky katuletea hii video mpya ya wimbo wake, Rihanna aonekana (video+)
Next Article Picha: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais akutana na Waandishi wa Habari Ikulu DSM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?