Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Nina haki na huu wimbo siyo ya mdomo hata kwenye makaratasi” – Ommy Dimpoz
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > “Nina haki na huu wimbo siyo ya mdomo hata kwenye makaratasi” – Ommy Dimpoz
Habari za Mastaa

“Nina haki na huu wimbo siyo ya mdomo hata kwenye makaratasi” – Ommy Dimpoz

July 8, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Siku chache baada ya kuachiwa wimbo mpya ‘Cheche’ kisha kuibuka story za mtu wingine aliyefahamika kwa jina la Modala kudai wimbo huo ni wake, mwimbaji Ommy Dimpozi amesisitiza kuwa wimbo huo ni haki yake.

Akizungumza kwenye The weekend Chat Show ya Clouds TV Ommy Dimpoz amesema kuwa wimbo huo aliandikiwa na watu wenye maamlaka na kusema yeye pekee ndiye ana haki nao akisema kwa sasa hamlaumu mtu yeyote na halalamiki.

>>>“Nina haki na huu wimbo siyo wa mdomo tu hata kwenye makaratasi. Kwa hiyo siwezi kulaumu wala kuongea kwa yule msanii anayelalamika au kusema kwamba dogo anazingua, no.

“Sijui, labda ni kitu gani maana hata mimi imebidi niulize mbona kuna msanii analalamika? Jamaa akanijibu kama kuna mtu yeyote anakuuliza hilo suala sisi tuna majibu wewe waambie watutafute, so, siwezi kuongelea chochote kuhusu Modala. 

“Siwezi kusema sana kama ni mtu katumwa, katengenezwa au nini ila pia unajua muziki una mambo mengi. Hayo mambo yanaweza kutokea ila siwezi kumshutumu mtu yeyote. Pengine unaweza kumlalamikia kwamba huyu dogo katumwa wakati na yeye ana haki na huo wimbo ila majibu wanayo wao walioandika.” – Ommy Dimpoz.

“Wimbo wa Ommy Dimpoz ni mali yangu ila…” – Producer Abydaddy

ULIPITYWA? Alichoongea Ommy Dimpoz aongea baada ya kusainiwa Rockstar4000!!!

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

TAGGED: Bongofleva, bongoflevanews
Victor Kileo TZA July 8, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani
Next Article PICHA 20: Profesa Jay baada ya ndoa Kanisani, hizi ni kabla ya kuingia ukumbini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?