Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA: Neymar kwenye penzi jipya na staa wa Pop?
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > PICHA: Neymar kwenye penzi jipya na staa wa Pop?
Habari za Mastaa

PICHA: Neymar kwenye penzi jipya na staa wa Pop?

March 5, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Msanii wa muziki wa Pop Anitta ameanza kuingia katika tuhuma za kudaiwa kutoka kimapenzi na mwanasoka wa Brazil ambaye pia ni mchezaji wa Paris Saint Germain ya nchini Ufaransa Neymar, Anitta ameanza kuhusishwa kuwa katika mahusiano na Neymar baada ya ukaribu kuzidi.

Anitta na Neymar wameonekana wakiwa beneti katika jiji la Rio De Janeiro nchini Brazil, ukaribu ambao umeanza kuzua utata mitandaoni kuwa inawezekana wawili hao kuna kitu kinaendelea, Anitta ni moja kati ya wasanii wa Pop maarufu nchini Brazil na Amerika ya Kusini na amekuwa akifanya kazi zake kwa kutumia lugha ya kireno.

Neymar na Anitta wakiwa Rio De Janeiro katika tamasha la Sambadrone wameonekana wakikumbatiana na ku-kiss kitu ambacho kinaaminika kuwa kuna uwezekano wawili hao wakawa mapenzini, Neymar alithibitika kuachana na girlfriend wake ambaye ni muigizaji maarufu nchini Brazil Bruna Marquezine toka October 2018.

VIDEO: MILLARDAYO, IMENITOA MACHOZI, BOSS RUGE AMENIIBUA NAJIULIZA NANI ATATUSHIKA MKONO

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: bongofleva news
Admin March 5, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mama aliyeshuhudia nyumba yake ya Tsh Milioni 78 ikibomolewa afunguka
Next Article VIDEO: Pambano la Twaha Kiduku alivyompiga Mada Maugo mjini Morogoro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?