Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: DONE DEAL: Timu aliyojiunga nayo Emmanuel Adebayor kwa miezi 18
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > DONE DEAL: Timu aliyojiunga nayo Emmanuel Adebayor kwa miezi 18
Sports

DONE DEAL: Timu aliyojiunga nayo Emmanuel Adebayor kwa miezi 18

January 31, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Nahodha wa timu ya taifa ya Togo Emmanuel Adebayor ambaye alikuwa akihusishwa kujiunga na timu kadhaa, leo January 31 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili, ametangazwa kusajiliwa na timu ya Istanbul Basaksehir na atakuwa akivaa jezi namba 26.

Adebayor amejiunga na timu ya  Istanbul Basaksehir ya Ligi Kuu Uturuki kwa mkataba wa miezi 18, Adebayor ambaye alikuwa hana klabu toka aachane na Crystal Palace mwishoni mwa mwaka jana, alikuwa Uturuki kwa ajili ya kufanya mazunguzo na Besiktas  lakini walishindwana mshahara na vinara hao wa Ligi.

Emmanuel Adebayor alikuwa anataka Besiktas  wamlipe mshahara wa pound milioni 3 wakati wao walikuwa wanataka wamlipe pound milioni 2, hivyo akaamua kuachana nao na kujiunga na Istanbul Basaksehir waliyopo nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Uturuki inayoshirikisha timu 18.

VIDEO: Yanga vs Azam FC January 7 2017, Full Time 0-4

You Might Also Like

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

Picha: Yanayojiri kwa Benjamini Mkapa, mashabiki wafurika nje kushuhudia mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger

Live: Ali Kamwe aongoza Shangwe la Fainali Mbagala Zakheim, Tazama kinachoendelea muda huu

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA January 31, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Majibu ya Shilole kuhusu kurudiana na Nuh, pia Donjazzy kupost ‘chura’
Next Article VIDEO: Alichoongea Mwanafunzi aliyefaulu zaidi matokeo ya Form IV 2016 na alivyopokewa shuleni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?