Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mchezaji wa Leicester City aliekataa kuchezea tena kisa kocha amemsaliti
Share
Notification Show More
Latest News
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Mchezaji wa Leicester City aliekataa kuchezea tena kisa kocha amemsaliti
Sports

Mchezaji wa Leicester City aliekataa kuchezea tena kisa kocha amemsaliti

January 31, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Staa wa soka wa timu ya soka ya Leicester City  Jose Leonardo Ulloa amerudi kwenye headlines baada ya kuonyesha kukasirishwa na kocha wake Claudio Ranieri kukiuka makubaliano yao na kusema hawezi kuichezea tena Leicester sababu Ranieri kamsaliti.

Jose Leonardo Ulloa ameeleza kuwa Ranieri alisema atamruhusu kuondoka Leicester City na kwenda kujiunga na klabu nyingine endapo itakuja mezani ofa ya kuanzia pound milioni 4 na kuendelea, cha kushangaza kocha huyo hataki kuona nyota huyo akiondoka tena.

“Kocha wiki mbili zilizopita alisema kuwa kama ofa ya kati ya pound milioni 4 hadi 5 itakuja mezani ataniruhusu kuondoka lakini ninachokifahamu nikuwa ofa zilizokuja ni za kiwango hicho na zaidi lakini anazipotezea“

Tweet ya Jose Leonardo kwa mashabiki wa Leicester City

Leo hii ananiambia anataka mimi niendelee kuichezea Leicester City sielewi kwa nini hataki nikaendeleze maisha yangu ya soka sehemu nyingine, kiukweli kama nitaendelea kubakia Leicester City itaathiri timu na soka langu kwa ujumla wanajua hatoendelea kunitumia lakini sijui kwa nini hawataki niondoke”

Timu ya Sunderland inamuwania nyota huyo na ipo tayari kutoa pound milioni 7 kwa ajili yake……… Sunderland wapo nafasi ya mwisho katika msimamo wa EPL huku Leicester City wakiwa nafasi ya 15 ambapo kama unakumbuka Jose Leonardo Ulloa alijiunga na Leicester 2014, kaichezea jumla ya mechi 89 na kuifungia magoli 20.

VIDEO: Yanga vs Azam FC January 7 2017, Full Time 0-4

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA January 31, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Mabingwa wa Afrika wametua DSM, kocha kataja sababu ya kumuacha mchezaji bora Afrika
Next Article VIDEO: Mabehewa ya Treni iliyoanguka Ruvu yalivyosogezwa, tazama Treni ya kwanza ilivyopita baada ya ajali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?