Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: EXCLUSIVE: Tambwe kaelezea Refa Jonasia alivyomtukana na kumpa kadi jana
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > EXCLUSIVE: Tambwe kaelezea Refa Jonasia alivyomtukana na kumpa kadi jana
AyoTV

EXCLUSIVE: Tambwe kaelezea Refa Jonasia alivyomtukana na kumpa kadi jana

January 31, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

January 29 Yanga ilicheza game yao ya Ligi kuu Tanzania bara vs Mwadui FC uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambapo Yanga walikutana na upinzani mkali kutoka kwa Mwadui FC lakini mwishoni wakachukua ushindi wa goli 2-0.

Game ilichezeshwa na refa Mwanamke Jonasia na baada ya Yanga kupata goli la kwanza walifanya mabadiliko na kumtoa Amissi Tambwe ambaye alionyeshwa kadi ya njano na refa kwa madai ya kujivuta kutoka uwanjani kwa lengo la kuchelewesha muda kitendo ambacho kilimkera Tambwe na kulalamika.

Kwenye Exclusive Interview na AyoTV na millardayo.com Tambwe amesema baada ya kuonyeshwa kadi ya njano Refa akamtukana kwa tusi la mama yake wakati anatoka lakini baada ya mchezo Refa Jonasia alimfuata Tambwe na kumsema kuwa alimtukana.

Tambwe ameiambia millardayo.com na AyoTV yafuatayo >>> ‘Mwamuzi alikua ananitafuta toka mwanzo nilikua namuona, kitu kinashangaza sana ni kuona Mwamuzi mwenyewe ananitukana mimi… na nilikua sijajivuta wakati natoka akanipatia kadi direct wakati Waamuzi wengine huwa wanakujaga wanakuharakisha tu ila yeye alikuja akanipa kadi na akanitupia na matusi‘

VIDEO: Yanga vs Azam FC January 7 2017, Full Time 0-4

You Might Also Like

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Arsenal wamtambulisha Gabriel Jesus

Azam FC watambulisha kifaa kipya, Bakhressa asema mtafurahi

CV ya anayeitwa Kocha wa Makombe Simba SC

Southampton kuipiga tafu Serengeti Girls

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA January 31, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Gazeti la Tanzania lililopewa saa 24 kumuomba radhi Rais Magufuli
Next Article VIDEO: Mabingwa wa Afrika wametua DSM, kocha kataja sababu ya kumuacha mchezaji bora Afrika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?