Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Serikali imetenga mabilioni kumaliza ukosefu wa dawa nchini.
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Serikali imetenga mabilioni kumaliza ukosefu wa dawa nchini.
Mix

Serikali imetenga mabilioni kumaliza ukosefu wa dawa nchini.

October 17, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

SERIKALI imesema imetenga jumla ya shilingi bilioni 70 kwa ajili ya kununua dawa na vifaa tiba ili kumaliza tatizo la ukosefu wa dawa nchini.

Aidha imetenga jumla ya shilingi bilioni 85 kwa ajili ya kupunguza deni linalodaiwa na bohari ya dawa MSD lengo likiwa ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya zenye ubora.

Akifungua mkutano mkuu wa waganga wakuu wa mikoa na wilaya zote nchini leo mjini Dodoma makamu wa rais mama SAMIAH SULUHU HASSAN amesema dawa hizo zitakazonunuliwa zitaenda moja kwa moja katika vituo vya afya vilivyopo hapa Nchini.

19

Amesema lengo la serikali ni kupunguza changamoto zilizopo katika sekta ya afya huku akiweka bayana dhamira ya serikali ya kujenga kiwanda cha Dawa katika mkoa wa Simiyu.

Mbali na hilo amezungumzia suala la tiba asili na tiba mbadala na kuitaka Wizara ya Afya maendeleo ya jamii,jinsia,Wazee na Watoto kuhakikisha wanazipa umuhimu kwa kuzitambua na kuzisajili.

24

Kwa upande wake mwenyekiti wa Waganga hao dokta SUDI LEONARD ameiomba serikali kutatua tatizo la dawa na vifaa tiba lililopo nchini ambalo limekuwa likisababisha malalamiko na manung`uniko kwa wananchi hasa kwa makundi maalum kama wajawazito,watoto,wazee na wenye magonjwa sugu.

Mkutano huo ni wa siku nne wenye lengo la kujadili kwa pamoja masuala mbalimbali yahususyo afya na ustawi wa jamii,kubadilishana uzoefu na kujadili namna ya kutatua changamoto zilizopo ukibeba kauli mbiu isemayo mfumo na huduma bora za afya ni nguzo muhimu kuelekea Tanzania yenye viwanda na uchumi wa kati.

Unaweza ukabonyeza play kumsikiliza Makamu wa Rais Samia Suluhu

You Might Also Like

Fredy Lowassa akabidhi vifaa vya shule kwa waliofauli 2023

Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

Samsung wafungua duka lao ndani ya Palm village Mikocheni

Hatimaye Miss Tanzania 2020 akabidhiwa zawadi yake

Edwin TZA October 17, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Afande Sele kakubali kujiunga CCM ? kayaongea haya…
Next Article PICHA 10: Wasichana waliokuwa wametekwa na Boko Haram walivyokutana na familia zao.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?