Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Matano ya kufahamu kutoka kwa Rose Muhando leo pamoja na hii video aliyoifanya Afrika Kusini.
Share
Notification Show More
Latest News
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Matano ya kufahamu kutoka kwa Rose Muhando leo pamoja na hii video aliyoifanya Afrika Kusini.
Habari za Mastaa

Matano ya kufahamu kutoka kwa Rose Muhando leo pamoja na hii video aliyoifanya Afrika Kusini.

January 21, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

Rose Muhando 31. Toka ameingia mkataba wa kuwa chini ya kampuni ya Sony miaka miwili iliyopita, hii ndio itakua single yake ya kwanza ambapo anasema ‘unaitwa Yesu Kung’uta ila mimi najua kila mtu atauita Wololo kwa sababu ndio kibwagizo kinachoanza na wimbo vizuri’

2. Single hii ilirekodiwa July 2013 South Africa lakini ilichelewa kutoka sababu ilibidi amalizie kufanya video kama ilivyotakiwa, audio isingewezekana kutoka bila video kuwa imekamilika kwa sababu ya taratibu za kiofisi.

3. Video zote mbili mpya ikiwemo hii ya ‘Wololo’ zimefanyika nchini Afrika Kusini.

4. Rose anasema ‘utofauti wa kufanya kazi na Sony ni kwamba vitu vingi sifanyi mwenyewe, ninachofanya ni kuandaa nyimbo zangu ila vingine sijui nitavaa nguo gani, nitapanda gari au ndege gani… kila kitu ni wao’

5. ‘Baada ya mimi kuanza kufanya kazi na Sony wengi wanafurahi kwamba niko hapa, wako wasiofurahi pia ila hiyo sijali… Mungu akisema imeandikwa nitafanya kama ilivyoandikwa…. Mungu akiniambia fanya ninafanya haijalishi kuna mtu anataka au kuna mtu hataki’ – Rose Muhando

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

Millard Ayo January 21, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Sikiliza kilichomkuta Kajala baada ya kile kinachosemekana kumgombania Jamaa kupitia You heard ya leo
Next Article Umekisikia alichokisema Mbwiga leo?kisikilize hapa.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?