Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rafiki wa Samatta anayecheza Berlin akutwa na uvimbe Ujerumani
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Rafiki wa Samatta anayecheza Berlin akutwa na uvimbe Ujerumani
Sports

Rafiki wa Samatta anayecheza Berlin akutwa na uvimbe Ujerumani

September 22, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Winga wa kimataifa wa Uholanzi anayecheza Hertha Berlin ya Ujeruman Jean-Paul Boetius (28) leo zimeripotiwa taarifa kukutwa na uvimbe kwenye mayai ya kiume ambao utamuweka nje ya uwanja sasa akihitaji matibabu kwa uangalizi wa karibu.

Boetius ambaye amejiunga na Hertha Berlin 2022 akitokea Mainz amekumbwa na mtihani huo ambao unahitaji matibabu ya haraka ya daktari, Boetius watanzania wengi walimfahamu 2017 akiichezea KRC Genk akiwa na Mbwana Samatta nchini Ubelgiji lakini kubwa ilikuwa ni uwezo wake wa haraka wa kushika na kutamka maneno ya Kiswahili aliyofundishwa na Samatta.

Jean Boetius ambaye ametakiwa kheri na wachezaji wenzake mbalimbali akiwemo Mbwana Samatta anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa, hata hivyo ugonjwa huo pia umemuweka nje ya uwanja staa wa Borussia Dortmund Sebastian Haller aliyekiri kupata matibabu.

AHMED ALLY ATEMA NYONGO, MJADALA WA SIMBA KUPOSTIWA CAF, EDO KUMWEMBE APIGA KIJEMBE

You Might Also Like

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

Full Video: Tazama Mandonga alivyompiga Kenneth ‘Raia wa Uganda’ na kuibuka Mshindi wa Pambano hilo

Picha: Hawa ndio ‘Perfect Kanzu’, mastaa na Watu maarufu ununua hapa Kanzu zao Dar es Salaam

Kapombe na Tshabalala waongezwa Taifa Stars

Kocha Micho wa Uganda ajitetea kipigo cha Taifa Stars “Timu ya Mpito”

TAGGED: Sports
Rama Mwelondo TZA September 22, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Taarifa kutoka Dawasa kuhusu kukosekana kwa Maji Septemba 23, maeneo yatakayoathirika yatajwa
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 23, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?