Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta alivyosimamisha hotuba yake kwa muda kupisha wito wa swala (adhana) wakati akitoa salamu za pole kwa Watanzania katika shughuli za kumuaga Hayati Magufuli Kitaifa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Rais Kenyatta alivyosimamisha hotuba kupisha adhana wakati wa kuaga mwili wa JPM (+video)
Leave a comment
Leave a comment