Baada ya safari ya kutoka Lindi, Mtwara ya Rais Magufuli na kuzungumza na Wananchi mbalimbali ambao walimueleza kero zao, muda huu amefanya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya wa Rufiji na kumuondoa aliekuwepo.
Rais Magufuli amtumbua DC wa Rufiji amteua mwanajeshi
Leave a comment
Leave a comment