Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais mpya wa Sri Lanka awaita Wabunge
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Rais mpya wa Sri Lanka awaita Wabunge
Mix

Rais mpya wa Sri Lanka awaita Wabunge

July 31, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Rais mpya wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe amewaalika rasmi wabunge kujiunga na serikali ya umoja wa vyama vyote ili kufufua uchumi uliofilisika wa nchi hiyo kwa kufanya mageuzi magumu.
–
Akizungumza katika mkutano na watawa wenye ushawishi mkubwa wa Hekalu la Jino huko Kandy, moja ya madhabahu matakatifu zaidi ya kibuddha, Wickremesinghe alisema angependa kuanza safari mpya ya kuvileta vyama vyote pamoja na kuendeleza safari hiyo kuunda serikali ya vyama vyote.
–
Amewaandikia wabunge wote kuwataka kujiunga na serikali hiyo ya umoja. Wickremesinghe alichukuwa uongozi mapema mwezi huu baada ya ghadhabu ya umma kuhusu mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi katika taifa hilo kumlazimu mtangulizi wake Gotabaya Rajapaksa kuikimbia nchi hiyo na kujiuzulu.

You Might Also Like

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

List ya Wasanii wakubwa watakaoimba Tamasha la Pasaka 2023

TCDC na Makakati kukuza biashara kidijitali

Pascal Mwakyoma TZA July 31, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kuelekea Sensa 2022 hamasa yaendelea kutolewa
Next Article Pap Francis awaza kung’atuka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?