Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza
Top Stories

Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza

January 31, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

 Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Jeshi la Polisi ni miongoni mwa taasisi za utoaji haki nchini ambayo inanyooshewa sana vidole, kulalamikiwa na wananchi juu ya rushwa kwa kupindisha haki na kuchepusha sheria.

Amesema watu 70 kati ya 100 utakaozungumza nao nchini wanalilalamikia jeshi la polisi kwa namna linavyofanya kazi huku akibainisha watu wasio na nyadhifa ama fedha wanapata tabu kupata haki zao.

Rais Samia ameyasema hayo leo Jumanne Januari 31, 2023 Ikulu, Chamwino jijini Dodoma wakati wa hafla ya uzinduzi tume ya kuangalia jinsi ya kuboresha taasisi za haki jinai nchini.

Amesema Tume hiyo imepewa miezi minne kuanzia kesho hadi Mei 30 kukamilisha kazi hiyo na kukabidhi ripoti.

Amesema kwa kipindi cha miongo kadhaa mfumo haki jinai umekuwa na changamoto nyingi hivyo Serikali imeamua kuunda tume hiyo kutathmini mfumo wa utoaji haki na kimaadili katika taasisi hizo ili kubaini upungufu uliopo na kuja na mapendekezo yatakayosaidia kuboresha utoaji haki nchini, huku akizitaka taasisi hizo kutoa ushirikiano wa kutosha ili tume ifanye kazi yake.

“Tukaliangalie jeshi la polisi ambalo mara nyingi kama utazungumza na watu 100 basi 70 watalinyooshea kidole,” Rais Samia

“Pia, ofisi ya mashtaka tuangalie kwenyewe kukoje na kuna kasoro zipi kuna nini haswa kilichoharibu hii taasisi. Tuiangalie Takukuru kwa sababu kubadilisha tu mkuu wa taasisi haisaidii watamdanganya tu wafanye wanavyotaka,” Rais Samia

“Jeshi la magereza na kwenyewe tukalitazame magereza zetu zikoje na zinatakiwa ziweje, mwendelezo wa magereza ukoje, inafanya kazi ya msingi? mamlaka ya kuzuia dawa za kulevya kuna malalamiko mengi tukaangalie kwa nini wanafanya hivyo suala la uzalendo liko wapi.” Rais Samia

“Mimi na nyinyi tunasimamia haki za watu hakuna kitu kibaya kama kuchepusha haki ya mtu twendeni tukaangalie tumeteteleka wapi ili tukalinde haki za watu,” Rais Samia

 

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 31, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)
Next Article Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?