Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO – 19 leo tarehe 04 Januari, 2022 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.
TAGGED:
Rais Samia
TZA