Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais wa Kenya aukosoa uamuzi wa mahakama kuhusu kundi la wapenzi wa jinsia moja.
Share
Notification Show More
Latest News
Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Rais wa Kenya aukosoa uamuzi wa mahakama kuhusu kundi la wapenzi wa jinsia moja.
Top Stories

Rais wa Kenya aukosoa uamuzi wa mahakama kuhusu kundi la wapenzi wa jinsia moja.

March 2, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Rais wa Kenya William Ruto na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga wameungana katika ukosoaji wao wa uamuzi wa mahakama ya juu zaidi wa wiki iliyopita ambao unaoruhusu jumuiya ya wapenzi wa jinsia moja kusajili Vikundi vya harakati zao nchini Kenya.

Ijumaa iliyopita Mahakama ya Juu iliamua kwamba uamuzi wa bodi ya asasi zisizo za serikali nchini Kenya kukataa kuandikishwa kwa jumuiya ya wapenzi wa jinsia moja au kikundi kingine chochote chenye maneno ‘mapenzi ya jinsia ndani yake, ulikuwa kinyume cha sheria.

Mahakama ilisema kuwa kunyima kundi hilo kusajiliwa kwa misingi ya jinsia zao ni ukiukaji wa haki zao za kikatiba za kujumuika na uhuru wa kutobaguliwa.

Katiba ya Kenya inaruhusu ndoa kati ya watu wa jinsia tofauti pekee, huku kanuni ya adhabu inaadhibu ngono ‘kinyume na utaratibu wa asili’ kwa kifungo cha hadi miaka 14 jela.

Tofauti na Rais pia Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga amenukuliwa akisema kuwa haikuwa jukumu la idara ya mahakama kutunga sheria.

Hivi karibuni kumekuwa na ukosoaji dhidi ya wapenzi wa jinsia moja nchini Kenya na kanda nzima ya Afrika mashariki.

You Might Also Like

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rais Mwinyi akutana na Balozi wa Ufilipino nchini Tanzania
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 3, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
Top Stories May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

May 30, 2023
Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?