Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: TOP 5: Marais watano wanaolipwa mshahara mdogo zaidi duniani, Afrika wapo wawili
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
September 22, 2023
NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa
September 22, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023
September 22, 2023
RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki
September 21, 2023
Picha: Kutokea kwenye Mkutano kitaifa unaojadili upatikanaji wa Nishati nchini
September 21, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > TOP 5: Marais watano wanaolipwa mshahara mdogo zaidi duniani, Afrika wapo wawili
DunianiMix

TOP 5: Marais watano wanaolipwa mshahara mdogo zaidi duniani, Afrika wapo wawili

May 1, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Kwa kawaida tunadhani Marais ni miongoni mwa watu wanaolipwa mishahara mikubwa sana, lakini unaweza usiamini kuwa kuna baadhi ya nchi zenye maendeleo makubwa ya kiuchumi lakini Marais kutoka nchi hizo bado wanalipwa mishahara midogo.

Leo May 1, 2017 nimekusogezea list ya Marais watano ambao wanatajwa kulipwa mshahara mdogo zaidi duniani na rekodi yao haijawahi kuvunjwa hadi kufikia 2017.

1: Xi Jinping

Licha ya China kuwa miongoni mwa nchi zenye maendeleo makubwa ya kiuchumi duniani, lakini Rais wa nchi hiyo anatajwa kuwa miongoni mwa Marais wanaolipwa mshahara mdogo ukilinganisha na marais wa mataifa makubwa. Xi Jinping anatajwa kulipwa mshahara wa Dollar 1,120 kwa mwezi.

2: Jose Mujica

Jose Mujica alikuwa Rais wa Uruguay kuanzia mwaka 2010 hadi 2015, lakini bado anaendelea kushikilia rekodi ya kuwa Rais namba mbili anayelipwa mshahara mdogo zaidi duniani. Jose Mujica alikuwa analipwa Dollar 1,250 kwa mwezi.

3: Macky Sall

Huyu ni Rais wa Senegal wa sasa, alichaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo mwaka 2012 na anatajwa kushika namba tatu kwenye list ya Marais wanaolipwa mshahara mdogo zaidi duniani akilipwa Dollar 1,300 kwa mwezi ambayo ni sawa na Dollar 15,600 kwa mwaka.

4: Beji Caid Essebsi

Beji Caid ni Rais wa sasa wa Tunisia ambaye alichaguliwa December 2014. Beji anatajwa pia kuwa miongoni mwa Marais wanaolipwa mshahara mdogo zaidi duniani ambapo analipwa Dollar 1,350 kwa mwezi.

5: Pranab Mukherjee

Alichaguliwa kuwa Rais wa India July 2012 na anatajwa kuwa miongoni mwa Marais wanaolipwa mishahara midogo zaidi duniani akishika namba tano. Pranab Mukjerjee anatajwa kulipwa Dollar 2,400 kwa mwezi.

VIDEO: Ulipitwa na hili agizo alilolitoa Rais Magufuli Kilimanjaro? Bonyeza play kutazama…

BREAKING NEWS zote na stori za mastaa utazipata kwa Reporter wako MillardAyo, hakikisha umejiunga na mimi kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Snapchat, Youtube, APP kwenye ANDROID na IOS kote huko kwa jina hilohilo la @millardayo

You Might Also Like

Naibu waziri mkuu, waziri wa nishati dkt.Doto Biteko kufungua maonesho ya sita ya madini geita

Nahodha wa Tottenham Heung-min Son ana hamu ya kusahihisha makosa ya matokeo wikiendi hii

Wanajeshi wengine watumwa kutekeleza amri ya kutotoka nje huko Kano Nigeria

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inataka walinda amani wa Umoja wa Mataifa waondoke haraka

Ulinzi wa anga wa Ukraine ndio ajenda yangu kuu kabla ya mkutano na Biden-Zelenskyy

TAGGED: habari daily, Top 10, TZA HABARI
Admin May 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Vifaa 7 vya kiteknolojia vilivyowahi kubuniwa na kuushangaza ulimwengu
Next Article PICHA 14: Kutoka kwenye Maadhimisho ya May Mosi, Mwanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
Magazeti September 22, 2023
NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa
Top Stories September 22, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023
Top Stories September 22, 2023
RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki
Top Stories September 21, 2023

You Might also Like

Top Stories

NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa

September 22, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023

September 22, 2023
Top Stories

Picha: Kutokea kwenye Mkutano kitaifa unaojadili upatikanaji wa Nishati nchini

September 21, 2023
Top Stories

Mabingwa wenye bidhaa za kielectronic ‘Haier’ leo wametangaza habari hii njema mbele ya Waandishi wa Habari

September 21, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?