Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais Magufuli kashtukiza tena na leo kwa ziara ya ghafla…
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > BreakingNews > Rais Magufuli kashtukiza tena na leo kwa ziara ya ghafla…
BreakingNewsTop Stories

Rais Magufuli kashtukiza tena na leo kwa ziara ya ghafla…

November 9, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

Headlines kwenye vyombo vya habari na mitandaoni kuanzia Ijumaa November 6 2015 siku ya kwanza ya Rais Dk. John Pombe Magufuli Ikulu, zilibebwa na stori ya ziara ya kwanza ya kushtukiza Wizara ya Fedha ambapo kuna baadhi ya watendaji alikuta hawapo Ofisini saa za kazi !!

Hii ilikuwa Rais JPM ndani ya Wizara ya Afya.
Hii ilikuwa Rais JPM ndani ya Wizara ya Afya.

Headlines nyingine inayoanza kukamata nafasi kubwa mchana wa November 9 2015 kwa mara nyingine mitandaoni inahusu ziara nyingine ya Rais JPM ambapo safari hii amekatisha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo eneo la Upanga Dar es Salaam…  nako ameenda kimya kimya kwenye ziara ya kushtukiza vilevile.

#BREAKING: Rais JPM amefanya ziara nyingine ya kushtukiza Hospitali ya MUHIMBILI, atembelea wodini na kuongea na wagonjwa #MillardAyoUPDATES

— millard ayo (@millardayo) November 9, 2015

 

Updates

Hiyo ndio Breaking News yenyewe na kilichonifikia kwa sasa, chochote kutoka hapo nitakusogezea anytime kuanzia sasahivi mtu wangu !!

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

TAGGED: Dk. Magufuli, Magufuli, Rais Magufuli
Millard Ayo November 9, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kuelekea countdown ya birthday yake, Davido ameamua kujizawadia ndinga hii mpya! (+Pichaz)
Next Article Malaika wa ‘Sare’ amekuja na kitu kingine cha nguvu, hii ndio ‘Zogo’ yenyewe.. (Video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?