Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: RASMI: Yanga yawasimamisha Ntibazonkiza na Ambundo waondolewa kambini
Share
Notification Show More
Latest News
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > RASMI: Yanga yawasimamisha Ntibazonkiza na Ambundo waondolewa kambini
Sports

RASMI: Yanga yawasimamisha Ntibazonkiza na Ambundo waondolewa kambini

May 26, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Club ya Yanga SC imethibitisha taarifa za kuwasimamisha kwa muda wachezaji wake Dickson Ambundo na Saido Ntibazonkiza kutokana na kutoka kambini na kurejea alfajiri kinyume cha sheria na matakwa ya kambi ya Yanga kuelekea mchezo wao wa nusu fainali ya Kombe la ASFC dhidi ya Simba SC.

“Kuna taarifa kwa sasa zinazagaa mitandaoni kuhusiana na wachezaji Saido pamoja na Dickson Ambundo, kweli wachezaji hao Kocha Nabi ameamua kuwasimamisha kwa wiki hii” >>> Haji Manara

“Baadae akija Dar es Salaam pamoja na Uongozi wataona nini kitakachoendelea ni kweli Saido na mwenzake mara baada ya mechi yetu dhidi ya Biashara waliondoka kambini na kurejea alfajiri, hivyo kitendo hicho kimemfadhaisha kocha na Uongozi wa club ya Yanga kwa ujumla hivyo wameamua kuwasimamisha”>>> Haji Manara

Yanga wapo kambini mjini Shinyanga kwa ajili ya mchezo wao wa nusu fainali ya ASFC dhidi ya Simba SC siku ya Jumamosi ya May 28 2022 katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

You Might Also Like

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA May 26, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 26, 2022
Next Article “Ukiona nakukera niache tafuta mwingine” IGP Sirro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022

You Might also Like

Sports

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

August 10, 2022
Sports

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

August 7, 2022
Sports

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

August 7, 2022
Sports

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

August 7, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?