Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: RC Chalamila na Makampuni yajitokeza kununua tiketi kuelekea mchezo wa Yanga SC dhidi ya USM Alger
Share
Notification Show More
Latest News
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > RC Chalamila na Makampuni yajitokeza kununua tiketi kuelekea mchezo wa Yanga SC dhidi ya USM Alger
Sports

RC Chalamila na Makampuni yajitokeza kununua tiketi kuelekea mchezo wa Yanga SC dhidi ya USM Alger

May 24, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

NI Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ambae leo Mei 24 ,2023 ameunga mkono hamasa ya Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kununua tiketi 𝟭𝟬𝟬𝟬 za mchezo wetu wa fainali #cafcc dhidi ya USM Alger Jumapili.

Aidha RC Chalamila akiongea na waandishi ofisini kwake alisema..“Nina furaha kubwa sana kwa namna Young Africans SC ilivyotupa heshima na ninamshukuru sana kwa dhati Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza hamasa hii kubwa sana kwenye michezo tena kwa vitendo”

Mbali na ungwaji wa RC Chalamila katika ununuzi wa tiketi hizo pia zipo Makampuni binafsi na watu waliojitokeza kuunga Mkono hamasa ya Rais Samia Suluhu Hassan juu ya ununuzi wa tiketi za mchezo wa Yanga SC dhidi ya USM Alger ambapo mchezo huo utachezwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa Jumapili hii.

.Abdulmajid Nsekela, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank amuunga mkono Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hamasa ya mchezo wetu wa fainali ya kwanza #CAFCC kwa kununua tiketi 𝟱𝟬𝟬𝟬.
.Ruth Zaipuna ambae ni Afisa Mtendaji Mkuu NMB  amuunga mkono Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hamasa ya mchezo wetu wa fainali ya kwanza #CAFCC kwa kununua tiketi 𝟱𝟬𝟬𝟬.
.
.
.
.
.Al-watan Hamza Kaimu Mwenyekiti Yanga Whatsapp Makao Mkuu pongezi kwake kwa kununua tiketi 𝟭𝟬𝟬 za mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho #CAFCC dhidi ya USM Alger utakaopigwa Jumapili ya tarehe 28.05.2023, Saa 10:00 Jioni kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
.
.Pichani: Theobald Sabi, Mkurugenzi Mtendaji wa NBC  amuunga mkono Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hamasa ya mchezo wetu wa fainali ya kwanza #CAFCC kwa kununua tiketi 𝟱𝟬𝟬𝟬.

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

Edwin TZA May 24, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha: Kuelekea mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger, Ali Kamwe akabidhi tiketi 500 katika Chuo cha Ardhi
Next Article Rais Mwinyi ashuhudia utiaji saini wa mkataba wa makubaliano ya eneo la uwekezaji ZNZ
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
Top Stories June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?