Tukiwa bado tuko kwenye vichwa vya habari kuhusu janga la Ugonjwa wa Corona Virus, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amezungumza kuhusu kwa wale wanaopenda kukaa sehemu zenye muziki ama mikusanyiko isiyokuwa na ulazima kwa kipindi hiki.
RC Makonda ‘Corona inaua,unataka muziki cheza na mke wako ndani’
Leave a comment
Leave a comment