Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: RC Malima ataka kuifungua Ulanga
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > RC Malima ataka kuifungua Ulanga
Top Stories

RC Malima ataka kuifungua Ulanga

May 25, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amesema endapo changamoto ya miundombinu ya Barabara na umeme katika Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga itapatiwa ufumbuzi wa kudumu itasadia milango na kuongeza wawekezaji ndani ya Halmashauri hiyo na kuanza kuongeza mapato.

RC Malima ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri hiyo ambapo amesema kukosekana kwa miundombinu madhubuti ndani ya Halmashauri hiyo kunadhoofisha ukuaji wa kiuchumi.

Amesema suala la Barabara na Umeme ni muhimu kutokana na wilaya hiyo kuwepo na madini ya aina nyingi jambo ambalo wawekezaji wamekua wakiwasili kila siku hivyo uwepo wa miundombinu hiyo inaongeza hamasa kwa wageni kuja kuwekeza.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Dokta Julius Ningu amesema licha ya uwepo wa madini katika wilaya hiyo shughuli za kilimo na ufugaji nao umekua unachangia kwa kiasi kiubwa ukusanyaji wa mapato.

Ningu anasema kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 wamejiwekea lengo la kukusanya mapato BIL.2.7 lakini hadi sasa wameshakusanya Bil. 2.1

Pamoja na hayo DC Ningu amesema changamoto kubwa ya wilaya hiyo ni Migogoro ya Wakulima na Wafugaji ambapo kwa sasa jitihada mbalimbali zinaendelea ili kutatua kero hiyo ikiwemo mikutano ya hadhara na kuongea na wafugaji na wakulima kuwaemisha umuhimu wa jamii hizo katika nchi.

 

.
.
.

 

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA May 25, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Fei toto hajakubali yaishe, aomba mchango kwa Watanzania, kufungua kesi ‘CAS’
Next Article Siku ya chakula salama “chakula salama lazima tufuate viwango”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?