Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: RC Shigela awahimiza Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe kujikita katika shughuli Ujasiriamali
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > RC Shigela awahimiza Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe kujikita katika shughuli Ujasiriamali
Top Stories

RC Shigela awahimiza Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe kujikita katika shughuli Ujasiriamali

May 12, 2022
Share
2 Min Read
.
SHARE

Mkuu wa mkoa Morogoro Martine Shigela amewataka wanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe pamoja na vyuo vingine mkoani humo kujikita katika ujasiriamali pindi wawapo chuoni ili kukiingizia kipato.

RC Shigella ametoa wito huo wakati akifungua kongamano la ujasirimali lilofanyika chuo kikuu Mzumbe ambalo Linafahamika kama Mzumbe day ambapo amesema wapo baadhi ya wanafunzi wanamawazo ya kizamani ya kutegemea mikopo pekee badala ya kufanya shuguli zingine.

.

Aidha Shigela ameongeza kwa kusema Serikali inasisitiza jamii kujikita katika shughuli hizo kutokana na mfumo wa ajira wa Sasa kwani wasomi wamekua wengi tofauti na zamani.

” sisi wakati tunasoma tukimaliza tunapangiwa ajira siku hiyo hiyo unachagua mwemywe lakini kwa Sasa idadi ya wasomi imeongezeka hivyo ajira za Serikali ni chache lazima wanafunzi wajiongeze “

Katika hatua nyingine RC Shigella amepongeza chuo Cha Mzumbe kuwa na utaratibu wa kutoa mafunzo ya Ujasirimali Jambo ambalo linazalisha wasomi wenye weredi na maarifa makubwa katika utendaji kazi.

Shigela amevitaka vyuo vingine binafsi na Serikali Mkoani humo kukga mfano huo kwani unaondoa malalamiko ya ajira kwa Serikali.

Awali ,Makamu mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Profesa Lugano kusiluka amesema progamu hiyo imeanza mwaka 2017 na inafanyika Kila mwaka huku lengo likiwa kuongeza hamasa kwa wanafunzi kuwa na moyo wa kujiajiri badala ya kusubiria ajira za Serikali.

.

Profesa Kusiluka anasema tangu kuanza kwa kongamano Hilo wajasiriamali zaidi ya 150 wamenufaika kwa kupata elimu na kufungua viwanda vidogo ambayo wametoa ajira kwa vijana wenzao.

Kwa upande wake mmoja wa wanafunzi ambao wamenufaika na kongamano la ujasirimali Oshaidi Mtegama Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Mbeya amesema kwa Sasa anategeneza majiko yanayotumia chenga za mkaa na upepo ambao unazalisha nishati ya umeme nakutumika.katika kupika

Anasema baada ya kuhitimu masomo yake hategemei kuajiriwa hivyo anawasihi wanafunzi wengine kujichanganya na jamii ili kupata ujuzi

 

You Might Also Like

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

TAGGED: RC Shigela
Edwin TZA May 12, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Diamond alivyotua kwenye birthday party ya Meneja wake, Baba Levo na Sallam waongea kuhusu ‘Private Jet’
Next Article Live: Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Dar
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?