Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigela amepiga marufuku madereva kuendelea kupimwa kipimo cha ugonjwa wa Covid-19 katika mpaka wa Horohoro baada ya nchi jirani ya Kenya kuweka utaratibu wa kutovitambua vyeti vinavyotolewa na Madaktari wa Tanzania.
RC Tanga ageuka ‘Mfalme’ mpakani Hororo, malori ya Kenya stop (+video)
Leave a comment
Leave a comment