Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: RC Tanga awataka Viongozi wa Mkoa kuongeza Ufaulu Mashuleni
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > RC Tanga awataka Viongozi wa Mkoa kuongeza Ufaulu Mashuleni
Top Stories

RC Tanga awataka Viongozi wa Mkoa kuongeza Ufaulu Mashuleni

February 17, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Mkuu wa Mkoa wa Tanga OMARY MGUMBA amewataka Viongozi na wadau wa Elimu kujitahidi kuweka mikakati ya kuongeza Ufaulu kwa kupambana na viashiria vinavyopelekea kutofanya Vizuri kwenye mitiani ya kitaifa ikiwemo ukatili, Mimba za utotoni,ajira kwa watoto ikiwemo ya upatikanaji wa Chakula mashuleni.

Ametoa maelekezo hayo wakati akiongea na wadau wa Elimu Mkoa wa Tanga katika kilele cha siku ya wadau wa Elimu ngazi ya Mkoa kikiwa na malengo Kufanya tadhimi nakupanga mikakati ya kuongeza Ufaulu wakiwemo Maafisa,elimu,wakuu wa Elimu, Viongozi wa siasa na mashirika na Wanafunzi kwenye kilele cha juma la Elimu mkoani Tanga.

“Miongoni mwa changamoto tulizo nanzo ni mdondogo wa wanafunzi ya ni wanafunzi wanaanza wengi lakwanza lakini wakifika darasa la pili wana kuwa wachache na hadi wakifika darasa la saba wanakuwa wachache zaidia hivyo naelekeza kwa wakurugenzi wote kufatilia na kutoa taarifa kila mwezi ya maudhurio ya wananfunzi ili kufahamu changamoto inayo endelea na kutafutia ufumbuzi” Alisema RC Mgumba

Aidha afisa elimu wamkoa wa Tanga Bi Newaho Mkisi alisema kuwa kunachangamoto nyingi zinazopelekea Ufaulu kuwa wa chini kwenye maeneo yetu moja ni kupungua kwa kasi ya ufatiliaji swala la elimu ni moja ya sababu inayo shusha kabisa ushukaji wa Ufaulu wa Elimu huku jambo lengine likiwa ni swala la utoro wa Wanafunzi pamoja na wazazi kushindwa kufatilia maendeleo ya watoto wao.

.
.

You Might Also Like

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

Edwin TZA February 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA MAGARI 22 YA DORIA TAWA, AHIMIZA KUCHAPA KAZI.
Next Article 2wobunnie kutua DAR, kuinogesha Elements Bar Masaki Feb 18 Jumamosi hii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?