Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kitu Paul Makonda anawaza kuhusu Ubber na TAXI nyingine Dar es salaam
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Kitu Paul Makonda anawaza kuhusu Ubber na TAXI nyingine Dar es salaam
AyoTV

Kitu Paul Makonda anawaza kuhusu Ubber na TAXI nyingine Dar es salaam

January 26, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Leo Jan 26 2016 mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amekutana na madereva wa TAXI Dar es salaam na amesikiliza kwa umakini malalamiko yao wakidai mfumo wa usafirishaji wa Teknolojia ya kisasa (UBBER) unawaharibia biashara.

Baada ya Mkuu wa mkoa kusikiliza malalamiko yote hayo akawaambia yafuatayo >>> ‘Niwaombe mkakae alafu Alhamisi ijayo viongozi wachache mje na mapendekezo yanayoweza kujibu shauku na matamanio yangu na baadhi ya Wananchi, ninachotaka tuondoke kwenye biashara ya kukadiriana’

‘Tunakadiriana sisi abiria na mwisho wa siku pia tunakadiriwa na TRA sasa nataka abiria wasikadiriwe bali wajue gharama, nataka TRA isiwakadirie bali ijue haki zake kwenu….‘

‘Mawazo yangu niliyonayo, nataka Dar es salaam yote TAXI zote ziwe za UBBER au TAXI mnazopaki nyie au mtu yeyote aliyesajiliwa, aanze kutumia mashine zitakazoonyesha umbali wa safari anayokwenda… ni ili tuue na huu mzizi mwingine wa fitna’ – Paul Makonda

‘Utatuambia wewe unapigaje elfu 20 wakati wenzako tunachoma mafuta kwa gharama hii? manake kama wakitaka nao wataingia kwenye mfumo huu, na sio swala la kutaka…. nikishaamua mie na nyinyi ndugu zangu mkishalielewa tunaliweka kwenye utaratibu, ndani yake tutapata unafuu na wale wanaotumia TAXI Bubu tutawaondoa‘ – Paul Makonda

UNAWEZA KUTAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI KUJIONEA ZAIDI

UBBER ni Teknolojia ya APP kwenye simu inayokuwezesha kupata usafiri wa Taxi kwa kuiita yoyote iliyokaribu na popote ulipo na unaweza kuona picha halisi ya gari na Dereva mwenyewe baada tu ya kumuita.

App hii ambayo imekua ikitumika sana kwenye mataifa mbalimbali inaruhusu Mtu yeyote mwenye gari lake kuwa Ubber, hautahitajika kulipiga mstari gari lako ili lionekane ni TAXI na ni gari lolote linaweza kuwa Ubber iwe ni Rav 4 ama Range Rover, Hiace au IST… 

Kampuni hii haimiliki gari hata moja bali inatumia watu wenye magari yao na kuingia makubaliano, kuwapa mfumo huo wa Teknolojia alafu inachukua sehemu ya mapato yanayopatikana.

You Might Also Like

Chege kaweka wazi chanzo cha kupishana na Diamond Platnumz kwa ishu ya Mbosso

Ukali wa DC Jokate alivyoagiza watumishi wa Tanesco kupelekwa rumande ‘Sina huruma’

Dorah ashindwa kujizuia amwaga machozi asimulia magumu aliyopitia kwenye maisha yake

‘Sho Madjozi’ akiwaimbia live watanzania Mama Amina ya Marioo Kidimbwi Beach DSM

VIDEO:Mwanaume anaedaiwa kutoka kimapenzi na shilole kafunguka uhusiano wao

TAGGED: Dar es salaam NEWS
Millard Ayo January 26, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Lifuatalo ni agizo la Waziri wa TAMISEMI kwa Wamachinga wa Mwendokasi
Next Article VIDEO: Man United wamekubali kipigo cha goli 2-1 kutoka kwa Hull City
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?