Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Umeona mastaa wa Club ya REAL MADRID wanavyojiachia? Cheki PICHAZ..
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Umeona mastaa wa Club ya REAL MADRID wanavyojiachia? Cheki PICHAZ..
Sports

Umeona mastaa wa Club ya REAL MADRID wanavyojiachia? Cheki PICHAZ..

April 14, 2015
Share
2 Min Read
Huu ni mgahawa ambao wachezaji hupata chakula wakati wakiwa kwenye maandalizi ya mechi .
SHARE

9

Mchezo wa soka kwa hatua ilioufikia kwa sasa ni biashara kubwa sana ambayo inategemea uwekezaji mkubwa sana ili iweze kuendelea.

Pamoja na ukweli kuwa huu ni mchezo mwepesi ambao huhusisha wachezaji 22 wanaopambana uwanjani, ushindi husakwa kwa njia za kisasa kwa miaka ya hivi karibuni njia ambazo zinahusisha teknolojia ya hali ya juu ambayo kila siku inaboreshwa.

Klabu ya Real Madrid ni mfano wa hatua hii ambayo imefikiwa kwenye mchezo wa soka, makao makuu ya Real Madrid yanaakisi aina ya maendeleo ambayo klabu ya ukubwa wake inapaswa kuwa nayo.

Wachezaji wa Real Madrid wakiwa wanawaonyesha waandishi wa habari makao makuu ya klabu hiyo .
Wachezaji wa Real Madrid wakiwa wanawaonyesha waandishi wa habari makao makuu ya klabu hiyo.

Klabu hii inamiliki jingo kubwa la makao makuu ambalo ndani yake kuna kila kitu kuanzia viwanja vya kisasa mpaka vyumba vya kupumzikia wachezaji hasa wakati wakiwa kwenye maandalizi ya kuelekea mechi kubwa.

Ukiachilia mbali viwanja na vyumba bora vinavyowahakikishia wachezaji mapumziko mazuri , eneo hilo lina vyumba vya kupumzikia ambavyo vina mashine za michezo ya kompyuta maarufu kama Video Games au Playstation pamoja na michezo mingine kama basketball na volleyball.

Mchezaji wa Real Madrid Assier Illarramendi akiwa kwenye chumba cha michezo cha makao makuu ya klabu hiyo .
Mchezaji wa Real Madrid, Assier Illarramendi akiwa kwenye chumba cha michezo cha makao makuu ya klabu hiyo.
Huu ni mlano wa chumba cha Gareth Bale.
Huu ni mlango wa chumba cha Gareth Bale.
Milango ya vyumba hivi hufunguliwa kwa mfumo wa kisasa wa usalama ambao huhusisha alama za vidole .
Milango ya vyumba hivi hufunguliwa kwa mfumo wa kisasa wa usalama ambao huhusisha alama za vidole .
Hivi ndivyo ilivyo mandhari ya vyumba vya kulala vya wachezaji wa Real Madrid.
Hivi ndivyo ilivyo mandhari ya vyumba vya kulala vya wachezaji wa Real Madrid.
Ndani ya vyumba vya kulala wachezaji kuna televisheni maalum ambazo zinaonyesha taarifa mbalimbali kuhusu wachezaji.
Ndani ya vyumba vya kulala wachezaji kuna televisheni maalum ambazo zinaonesha taarifa mbalimbali kuhusu wachezaji.
Makao makuu ya klabu hiyo yamenakshiwa na picha za magwiji wa zamani pamoja na mataji ambayo Madrid imewahi kutwaa .
Makao makuu ya klabu hiyo yamenakshiwa na picha za magwiji wa zamani pamoja na mataji ambayo Madrid imewahi kutwaa.
Huu ni mgahawa ambao wachezaji hupata chakula wakati wakiwa kwenye maandalizi ya mechi .
Huu ni mgahawa ambao wachezaji hupata chakula wakati wakiwa kwenye maandalizi ya mechi.

You Might Also Like

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

TAGGED: duniani, Real Madrid
Millard Ayo April 14, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jay Z na Beyonce kuna utata kwani? Rihanna anahusika na hii eti?
Next Article Utafurahi kuwaona Ronaldo na Messi wakicheza kikosi kimoja??
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?