Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Cristiano Ronaldo amfunika Lionel Messi kwenye rekodi nyingine ya magoli ulaya
Share
Notification Show More
Latest News
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Cristiano Ronaldo amfunika Lionel Messi kwenye rekodi nyingine ya magoli ulaya
Sports

Cristiano Ronaldo amfunika Lionel Messi kwenye rekodi nyingine ya magoli ulaya

August 13, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

two-tiger-ronaldo-vs-messi-picsUpinzani wa wachezaji bora wa kizazi hiki cha soka Cristiano Ronaldo na Lionel Messi umekuwa ukitawala vypmbo vya habari kila kukicha.

Usiku wa jana kulikuwa na mchezo wa UEFA Super Cup kati ya mabingwa wa UEFA Europa League – Sevilla dhidi ya mabingwa wa UEFA Champions League – Real Madrid, mchezo amba ulipigwa jijini Cardiff, Wales.

Matokeo ya mchezo huo ni ushindi wa 2-0 kwa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifunga magoli yote mawili na kuandika rekodi nyingine kwenye soka barani ulaya.

Magoli hayo ya Ronaldo yamemfanya atimize jumla ya magoli 70 kwenye michuano ya ulaya na hivyo kumpita Messi ambaye ana jumla ya magoli 68.

Mpaka kufikia April 2012, nahodha wa Ureno alikuwa nyuma kwa magoli 18 kumfikia Messi, lakini ndani ya misimu miwili amefanikiwa kumfikia Messi na kumpita akifunga jumla ya mabao 29 ndani ya msimu miwili.

Ronaldo sasa anakuwa amefunga magoli 68 kwenye ligi ya mabingwa wa ulaya na mawili kwenye Super Cup, jumla 70, akiwa amemfikia nyota wa zamani Juventus na AC Milan Fillipo Inzaghi.

Gwiji wa soka wa Real Madrid ndio mchezaji anayeongoza kwa magoli mengi barani ulaya akiwa ameziona nyavu mara 76.

You Might Also Like

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

Millard Ayo August 13, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ya moyoni kutoka kwa Tyrese Gibson.
Next Article Kama ulimis mchezo wa Super Cup kati ya Real Madrid vs Sevilla, angalia magoli hapa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?