Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING: Mdogo wa Rostam afikishwa Mahakamani kwa makosa 75
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > BREAKING: Mdogo wa Rostam afikishwa Mahakamani kwa makosa 75
Top Stories

BREAKING: Mdogo wa Rostam afikishwa Mahakamani kwa makosa 75

October 31, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Leo October 31, 2018 Mfanyabiashara, Akram Azizi Abdul Rasool amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na makosa 75, ikiwemo kukutwa na Nyara za Serikali na utakatishaji fedha wa U.S.D 9018.

Mfanyabiashara huyo ambaye ni mdogo wa Rostam Azizi anakabiliwa na kesi ya uhujumu namba 82/2018 ambapo katika makosa yake, mawili ni kukutwa na Nyara za serikali, kukutwa silaha makosa 70, kukutwa na risasi makosa mawili ambazo ni zaidi ya (6496) na utakatishaji fedha 1.

Mshtakiwa huyo amesomewa mashtaka yake na Wakili serikali Mkuu, Paul Kadushi akisaidiana na Faraja Nchimbi mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustino Rwizire.

Miongoni mwa mashtaka aliyosomewa ni kukutwa na nyara za serikali, ambapo anadaiwa amelitenda October 30, 2018 maeneo ya Oysterbay Dar es Salaam ambapo alikutwa na Meno 6 ya Tembo yakiwa na thamani ya Shilingi MIL. 103.

Pia anakabiliwa na kosa la kukutwa na nyama ya Nyati, Kilogramu 65 yenye thamani ya Shilingi Mil 4.35 bila kuwa na kibali, ambalo amelitenda October 30,2018 sawa Oysterbay Kinondoni Dar es Salaam.

Pia anakabiliwa na kosa la kukutwa na risasi 2404, kosa ambalo amelitenda October 30,2018 maeneo ya Oysterbar DSM.

Kosa jingine ni kukutwa na silaha aina ya Pistol, ambalo amelitenda October 30,2018 maeneo ya Oysterbay Dar es Salaam bila kuwa na kibali cha Mrajisi wa Silaha.

Kosa jingine ni utakatishaji fedha wa Dola za Kimarekani 9,018 ambalo amelitenda October 30,2018 huku akijua fedha hizo ni zao la kujihusisha na makosa tangulizi.

Baada ya kusomewa makosa hayo, mshtakiwa hakuruhusiwa kujibu kitu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka.

Upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika, mshtakiwa amerudishwa rumande, kesi imeahirishwa hadi November 12,2018.

Mtanzania na Mzungu wa kwanza kupanda Mlima Kilimanjaro, hawakufika Kileleni (+video)

 

You Might Also Like

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

TAGGED: Breaking news, TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA October 31, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtanzania na Mzungu wa kwanza kupanda Mlima Kilimanjaro, hawakufika Kileleni (+video)
Next Article Askari aliyepandishwa cheo na IGP, aongoza katika riadha Japan
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?