Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Beef: 50 Cent na Rick Ross wafufua beef yenye miaka zaidi ya mitano kwenye mitandao ya kijamii!
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > beef > Beef: 50 Cent na Rick Ross wafufua beef yenye miaka zaidi ya mitano kwenye mitandao ya kijamii!
beefHabari za Mastaa

Beef: 50 Cent na Rick Ross wafufua beef yenye miaka zaidi ya mitano kwenye mitandao ya kijamii!

November 9, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

Wasanii wa muziiki wa HipHop Marekani, 50 Cent na Rick Ross wanaziandika headlines baada ya wawili hao kufufua beef ya mwaka 2009 kati yao kwenye social media… ugomvi ulianza siku ya ijumaa baada ya 50 Cent kupost picha kwenye Instagram T-shirt ya kumkejeli Rick Ross na maneno yaliyosema ” Lmao ???? sina cha kufanya kwa hiyo nimeamua kuuza hizi Tshirt kwa $2.95″.

ROSSAY50

Baada ya dakika kadhaa 50 alifuta post hiyo lakini Rick Ross alikuwa ameshakutana nayo, Rozay akaamua kumjibu 50 kupitia page yake ya Twitter, akaandika tweet ya kumshambulia 50 Cent iliyosema; “Forced into #BANKRUPTCY now the Donkey @50cent WORKING 4 #MMG Merch co. selling T’s for 2.95 on the #BLACKMARKET haaa!” 

ROSSAY502

Majibizano yao kupita Instagram na Twitter hayakuishia hapo, 50 Cent alirudi tena kwenye Instagram na kuendelea kumshambulia Boss wa Maybach Music Group, Rick Ross kwa kupost picha ya kitambo sana ya Rozay kipindi hicho akiwa Askari Magereza na kumtania kuhusu engagement yake kwa mchumba wake Lisa Galore mwenye miaka 22… kwenye post hiyo 50 aliandika;

>>>” Ok hii movie ni kali ???? askari magereza anayerap kama mvuta bangi mpaka anajiamini kuwa ni hivyo, kisha anajishaua sana alafu mauzo yake kimuziki sio kitu kikubwa na badaae anaamua kumchumbia stripper wa miaka 22 ambaye kwa asilimia kubwa crew yake nzima imeshampitia…LMAO ☕️???? subiri kwanza, ningependa kununua hakimiliki juu ya hii movie”. <<< @50cent.

ROSSAY50350 Cent hakuishia hapo akaamua apost tena picha nyingine ya Ricky Rozay, lakini hii ililenga ile beef kati ya msanii wake Meek Mill na msanii kutoka Cash Money Records, Drake… huku caption yake ikisema;

>>> ” Hivi ndiyo unavyokuwa… pale ambapo DRAKE ALIMKALISHA MTU WAKO. LMAO hii ndio emoji mpya ya MMG ???? kuangalia lakini husemi kitu… ” <<< @50cent.

ROSSAY504

Rick Ross naye akaendelea kumshambulia 50, sema round hii Rozay alimshambulia 50 cent na mwanae kupitia page yake ya Twitter na Instagram, Rick Ross alipost na kutweet;

ROSSAY506

ROSSAY507

Beef kati ya Rick Ross na 50 Cent ilianza mwaka 2009 ambapo 50 alivujisha mkanda wa utupu wa aliyekuwa mpenzi wa Rick Ross wakati ule Lastonia Leviston, japo 50 cent alidai kuwa si yeye aliyehusika kwenye kuvujisha mkanda huo Lastonia aliamua kwenda kushitaki Mahakamani ambapo badaae kulitokea mvutano mkubwa sana kati ya watu hao watatu.

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Dj Khaled ametuletea hii video mpya ‘Staying alive’ akiwa na Drake na Lil Baby

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

TAGGED: beef, Marekani
Millard Ayo November 9, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Video: Hii single inaweza kukupa nguvu ewe mtu wangu unaepitia magumu na kusemwasemwa.
Next Article Licha ya yote, Karrueche Tran ameyasema haya kuhusu Chris Brown na mahusiano..!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?