Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: RPC geita anena ‘Vijana hawaendi Makanisani, Misikitini na kwenye mizimu’
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
September 29, 2023
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad
September 29, 2023
Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea
September 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > RPC geita anena ‘Vijana hawaendi Makanisani, Misikitini na kwenye mizimu’
Top Stories

RPC geita anena ‘Vijana hawaendi Makanisani, Misikitini na kwenye mizimu’

May 31, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Imeelezwa kuwa Mmomonyoko wa Maadili kwa Vijana umekuwa ukisababishwa na Baadhi ya Vijana ambao wamekuwa wakiukwaji wa Maadili ambapo changamoto hiyo imekuwa ikichangiwa na Baadhi ya Wazazi kutohimiza watoto wao kuwa na hofu ya Mungu ikiwemo kutokwenda katika Nyumba za Ibada pamoja na kukiuka Mila na Desturi za Kiafrika.

Akizungumza katika kongamano la Vijana lililoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Mbogwe ,Bi.Sakina Mohamed kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika wilaya hiyo liliofanyika katika Viwanja vya Masumbwe wilayani humo Kamanda wa Jeshi la Polosi Mkoa wa Geita , Kamishina Msaidizi Safia Jongo amesema Mmomonyoko wa Maadili kwa Vijana umekuwa ukichangiwa na Wazazi pamoja na Teknolojia .

“Vijana wengi hawaendi Makanisani hawaendi Misikitini wala hawaendi kwenye Mizimu kweli si kweli ee wasukuma huwa mnamizimu kutokana na watoto kukosa Maadili tumepata kizazi ambacho kina matendo na Matukio ya ukatili yaliyopitiliza Matokeo ya wazazi kukosa Mda kuwapa watoto elimu imechangia watoto wengi kuwa waharifu ,” RPC, Jongo.

Akifunga kongamano la Vijana wilayani humo Mkuu wa Mkoa wa Geita ,Martine Shigella amewahasa vijana kufany kazi kwa Bidii juu ya fursa zinzopatikana katika wilaya hiyo huku akitoa Maagizo kwa Halmashauri kuhakikisha inasajili vikundi na kuwapa Mikopo kw ajili ya kujikwamua huku akitoa kiasi cha shilingi Milioni 5 kwa kikundi cha Vijana wilayani humo.

Naye Mkuu wa wilaya ya Mbogwe Bi, Sakina Mohamed amempongeza Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha katika wilaya hiyo kwa ajili wananbogwe pamoja na vijana ambao wamekuwa wakishirikiana nao katika kuleta fursa kwa vijana wilayani humo.

Bi.Sakina George Balele ameendelea kumpongeza Mkuu wa wilaya ya Chato Ndg.Deusdediti Katwale kwa kuhudhulia kongamano hilo ambalo alitoa fedha kwa ajili ya kusaidia kikundi cha vijana ambacho kimekuwa kikihitaji kujikwamua kiuchumi.

Mobahe amemuomba Mkuu wa Mkoa wa Geita katika kuendelea kushirikiana na Serikali kuiomba Halmashauri ya wilaya hiyo kutenga maeneo kwa ajili ya kilimo ,Ufugaji pamoja na Mikopo ya fedha ili kusaidia vikundi ambavyo vimesajiliwa na Halmashauri ili kuwakwamua kiuchumi.

You Might Also Like

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA May 31, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Waziri Makamba Bungeni, ‘Serikali kupitia REA itasambaza majiko banifu 70,000 vijijini na vijiji-miji (Per Urban)
Next Article Wabunge washauri Songas kuongezwa mkataba kwa ufanisi wa kazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
Sports September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
Top Stories September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
Top Stories September 29, 2023
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad
Entertainment September 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Top Stories

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

September 29, 2023
Sports

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

September 29, 2023
Top Stories

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?