Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Runtown na Dj Khaled kwenye Album moja?! + mastaa wengine waliowahi kutoa nyimbo na Wamarekani!
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Runtown na Dj Khaled kwenye Album moja?! + mastaa wengine waliowahi kutoa nyimbo na Wamarekani!
Habari za Mastaa

Runtown na Dj Khaled kwenye Album moja?! + mastaa wengine waliowahi kutoa nyimbo na Wamarekani!

November 11, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

Siku hizi biashara ya muziki Africa imekuwa ya ushindani mkubwa sana, wasanii wamewekeza juhudi, muda na hela kubwa kwenye kutengeneza muziki sio tu wa Africa bali muziki utakaopokelewa na dunia nzima kwa ujumla.

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Runtown anaongeza idadi ya wasanii kutoka Africa ambao wameaonyesha uthubutu kwa kuwashirikisha wasanii wenye majina makubwa kwenye Industry ya Muziki baada ya kumshirikisha Proucer, Mtangazaji na Dj maarufu kutoka Marekani, Dj Khaled kwenye moja ya nyimbo zilizopo kwenye album yake mpya!

RUNKHALED4

Kupitia page yake ya Instagram, Runtown ameachia orodha ya nyimbo zitakazokuwepo kwenye Album yake mpya ‘Ghetto Unievesity’ itakayokuwa sokoni rasmi siku ya Jumatatu tarehe 23 November 2015 yani wiki mbili kuanzia sasa.

RUNKHALED4

Ukiacha mbali kufanya kazi na Dj Khaled, wasanii wengine walioshirikishwa kwenye Album hiyo ni pamoja na Wizkid, Davido, Uhuru na Dj Maphosira kutoka South Africa, MI Abaga na wengine.

RUNKHALED3

Runtown alikuepo nchini mwezi uliopita kwa ajili ya finali za Bongo Star Search 2015 na alithibitisha kufanya kazi na msanii wa Tanzania kutoka kwenye kundi la TMK Wanaume Family, Chege Chigunda.

RUNCHEGE

Hapa chini nina orodha kamili ya nyimbo zitakazo kuwepo kwenye Album hiyo…

Money Bag ft. DJ Khaled
Let me love You
Gallardo ft. Davido
The Banger ft. Uhuru
Kilofoshi
Talk for me
Ima  Ndi Anyi Bu ft. Phyno
Omalicha Nwa
Tuwo Shinkafa ft. Barbapappa
Ghetto University
Bend Down Pause ft. Wizkid
Walahi
Lagos to Kampala ft. Wizkid
My Guyz ft. Anatii
Sarki Zaki ft. M.I X Hafeez
Tuwo Shinkafa (Moroccan Version)
Na So the Story Go

Wasanii wengine wa Africa walioingia studio na kupiga collabo na wasanii wakubwa wa Marekani ni pamoja na mtu wetu A.Y aliyefanya ngoma na mtoto wa Producer Master P, Romeo (Lil Romeo) na Lamyia, nyingine ilikuwa na mmoja ya wakali wa dancehall kutoka Jamaica, Sean Kingston, Davido na Meek Mill, Sakodie na Ace Hood, P Square na Rick Ross, nyingine na T.I na nyingine pia na Akon, MC Galaxy na Swizz Beatz, lakini pia kwenye list yangu siwezi kuisahau ya D’banj na Akon Mkurugenzi wa Konvict Muzik.

 

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Nigeria
Millard Ayo November 11, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Pichaz 8 za mapokezi ya Mbwana Samatta kutoka uwanja wa ndege wa JKIA Dar Es Salaam
Next Article Kama umeona picha mbaya kwenye account ya Ray C Instagram, kilichomkuta ni hiki.. (UHeard)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?