Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Raisa Ruto atangaza nyama ya Kenya kuuzwa nchini Afrika Kusini
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Raisa Ruto atangaza nyama ya Kenya kuuzwa nchini Afrika Kusini
Top Stories

Raisa Ruto atangaza nyama ya Kenya kuuzwa nchini Afrika Kusini

November 10, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Rais wa Kenya, William Ruto leo akiwa Nairobi amesema kikao chake cha jana na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Jijini Nairobi hakijafungua tu fursa za usafiri bali kimeondoa vikwazo vingi vya kibiashara ambapo December mwaka huu nyama kutoka Kenya itaanza kuuzwa Afrika Kusini baada ya kuzuiwa kwa miaka 10.

Ruto amesema “Jana hatujafungua tu fursa za usafiri, tumeondosha vikwazo, tulikuwa tumepigwa marufuku kwa miaka 10 sasa kwa nyama ya Kenya kuingizwa kwenye soko la Afrika Kusini lakini kuanzia December mwaka huu marufuku hiyo inaondolewa na nyama kutoka Kenya itauzwa Afrika Kusini”

“Chai inayolimwa na kuzalishwa Kenya pia ilizuiwa kuingia Afrika Kusini, nimeongea na Rais Ramaphosa na tumekubaliana kuanzia January 2023 tutakuwa na uwezo wa kuingiza chai yetu kwenye soko la Afrika Kusini”

Itakumbukwa jana Rais Ramaphosa alitangaza kuwa kuanzia January 2023 Wakenya wataruhusiwa kwenda Nchini South Africa bila kuhitajika kuwa na VISA kama ilivyo sasa.

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Edwin TZA November 10, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Shirika la Ndege “ATCL” watoa tamko, baadhi ya safari kufutwa, “Kupisha matengenezo ya injini”
Next Article Sintofahamu bei ya vifurushi Nape aagiza watoa huduma waitwe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?