Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Tutafunga mtambo wa gesi ya kupikia wa tani moja Chuo cha uuguzi na Ukunga Peramiho’- Wazir Makamba
Share
Notification Show More
Latest News
TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”
August 12, 2022
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Tutafunga mtambo wa gesi ya kupikia wa tani moja Chuo cha uuguzi na Ukunga Peramiho’- Wazir Makamba
Top Stories

Tutafunga mtambo wa gesi ya kupikia wa tani moja Chuo cha uuguzi na Ukunga Peramiho’- Wazir Makamba

August 1, 2022
Share
2 Min Read
.
SHARE

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba ameahidi kufunga mtambo wa Gesi wa Tani moja (Kilogram 1,000) kwenye Chuo cha Ukunga na Uuguzi cha Peramiho kilichopo wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma ili kiwe chuo cha mfano kitakachofanyiwa tathmini kabla ya Serikali kuanza kutoa ruzuku kwa Taasisi kama hizo zitakazofunga mifumo ya Gesi ya kupikia.

.

Waziri wa Nishati, ametoa ahadi hiyo baada ya kukagua mfumo wanaotumia kupikia kwa kutumia magome ya miti ambao una changamoto mbalimbali ikiwemo kuleta moshi mwingi na muda mwingine kusababisha Wanafunzi zaidi ya 170 kuchelewa kupata chakula.

.

Waziri wa Nishati amesema kuwa >>”kama mnavyofahamu, tunatoa mitungi ya Gesi kwa makundi mbalimbali vijijini lakini pia kufunga mifumo ya kupikia ya gesi katika taasisi mbalimbali, lengo letu ni kuwaondelea wananchi adha ya kupika kwa kutumia kuni na mkaa, na huu ni utekelezaji wa Sera ya Nishati ya mwaka 2015.” – Waziri Makamba.

.

Shule hiyo itafungiwa mfumo wa kupikia ambao utajumuisha mtungi wa gesi wa tani moja, mabomba na mfumo wa kupikia  wenye majiko makubwa matatu na sufuria zake za kupikia kubwa zenye uwezo wa kuhudumia watu 200.

Waziri Makamba amesema >> ‘kufungwa kwa mifumo ya gesi katika chuo hiki kutawezesha Serikali  kupata taarifa sahihi na kujifunza jinsi Taasisi zinavyoweza kumudu na kutumia mifumo hiyo ya kupikia na kwamba shule hiyo itakuwa ni mfano wa mabadiliko kutoka nishati chafu ya kupikia kwenda nishati safi’ – Waziri Makamba.

.

Mkuu wa Chuo hicho cha uuguzi cha Peramiho, Sista Evodia Ngonyani amemshukuru Waziri wa Nishati kwa kutembelea chuo hicho na kuona jinsi wanavyopika katika mazingira ambayo si salama kutokana na wapishi muda wote kuwa katika mazingira ya moshi ambao ni hatari katika  mfumo wa upumuaji.

.
.
.
.
.
.

You Might Also Like

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

Edwin TZA August 1, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wapewa kitoweo ili kukubali kuhesabiwa sensa 2022
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 2, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”
Sports August 12, 2022
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 11, 2022

August 11, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 10, 2022

August 10, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 9, 2022

August 9, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022

August 8, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?