Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rwanda: Maabara ya kwanza ya uzalishaji wa chanjo “BioNTech” barani Afrika.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Rwanda: Maabara ya kwanza ya uzalishaji wa chanjo “BioNTech” barani Afrika.
Top Stories

Rwanda: Maabara ya kwanza ya uzalishaji wa chanjo “BioNTech” barani Afrika.

March 14, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Janga la Covid-19 lilidhihirisha utegemezi mkubwa wa afrika katika uagizaji wa chanjo kutoka nje ambapo kwa mujibu wa kituo cha Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa CDC, ilisema chini ya asilimia 50 ya watu bilioni 1.2 barani Afrika wamechanjwa kikamilifu dhidi ya Covid-19.

Shehena ya kwanza iliyobeba vifaa vya kutengeneza chanjo kutoka kampuni ya Ujerumani ya BioNTech vimewasili nchini Rwanda jana Jumatatu,  Afrika ikijitahidi kuimarisha uwezo wake wa kuzalisha chanjo.

Vifaa hivyo, vilivyotengenezwa kwa makontena yaliyochakatwa viliwasili katika mji mkuu wa Kigali, ambapo vitakusanywa ili kutengeneza kiwanda cha uzalishaji wa chanjo dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Kiwanda hicho cha mjini Kigali kitakuwa na uwezo wa kuzalisha hadi chanjo milioni 100 za mRNA kwa mwaka na kitachukua angalau miezi 12 kabla ya kuanza kutoa dozi.

Rwanda ndiyo imeandaa maabara ya kwanza ya uzalishaji wa chanjo ya simu ya BioNTech barani Afrika.

Mradi huu, unaoendelea tangu Oktoba 2021, ambao Rwanda ni mfaidika wa kwanza, unapaswa pia kuzinduliwa nchini Senegal na Afrika Kusini.

Maabara hii inayotembea ina uwezo wa kuzalisha dozi milioni 50 hadi 100 kwa mwaka.

You Might Also Like

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

TAGGED: TZA HABARI
Editor 2 March 14, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mfungwa aliyeishi gerezani muda mrefu akisubiri hukumu.
Next Article Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson amehutubia Mkutano wwa (IPU) nchini Bahrain
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?