Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Tazama goli la kwanza la Samatta lililoipa point tatu muhimu KRC Genk dhidi ya vinara wa Ligi leo
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Tazama goli la kwanza la Samatta lililoipa point tatu muhimu KRC Genk dhidi ya vinara wa Ligi leo
Sports

Tazama goli la kwanza la Samatta lililoipa point tatu muhimu KRC Genk dhidi ya vinara wa Ligi leo

February 28, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Jumapili ya February 28 Ligi Kuu Ubelgiji iliendelea tena kwa klabu ya KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta kushuka katika uwanja wake wa  nyumbani Cristal Arena kucheza mchezo wake wa 28 wa Ligi Kuu dhidi ya vinara wa Ligi Club Brugge.

Licha ya kuwa Club Brugge walikuwa wanarekodi nzuri dhidi ya Genk wamekubali kipigo cha goli 3-2, kwani kabla ya mchezo huo, Genk na Brugge kwa mechi tano zilizopita, Brugge walikuwa wameifunga Genk mara tatu, sare moja na kupoteza mechi moja.

Screenshot_2016-02-28-18-40-48-1 (1)

Magoli ya KRC Genk yalifungwa na Nikolaos Karelis dakika ya 31, ikiwa ni dakika 21 zimepita toka Club Brugge wapate goli la kuongoza dakika ya 15 kupitia kwa Thomas Meunier, lakini kasi ya Genk iliongezeka na kupata goli la pili dakika ya 50 kupitia kwa Thomas Buffel.

Mbwana Samatta aliingia dakika ya 79 kuchukua nafasi ya Nikolaos Karelis aliyefunga goli la kwanza la KRC Genk. mabadiliko ya kuingia Mbwana Samatta yalikuwa na faida kwani, dakika 2 baada ya kuingia alipachika goli lake la kwanza akiwa na Genk lakini pia ni goli la tatu kwa Genk, kabla ya dakika ya 83 Brugge walifanikiwa kupata goli la pili.

#MbwanaSamatta kaifungia timu yake ya Ubelgiji leo.. #MillardAyoUPDATES #LiveMatch #Genk 3-2 #Brugge (Samata 80′) @samagoal77

A video posted by millard ayo (@millardayo) on Feb 28, 2016 at 7:21am PST

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na MillardAyo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>>INSTAGRAMTWITTERFBYOUTUBE

You Might Also Like

Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

TAGGED: krc genk samatta, Mbwana Samatta
Rama Mwelondo TZA February 28, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Simba yatinga robo fainali ya Kombe la FA kwa kuichapa idadi hii ya goli Singida United.
Next Article Video ya magoli ya Simba Vs Singida United FA Cup, Full Time 5-1
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?