Samia Suluhu Hassan tayari ameapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof.Ibrahim Juma na sasa kinachoendelea ni zoezi la kukagua Gwaride.
Samia Suluhu ndie Rais mpya wa Tanzania, ahutubia Taifa (+video)
Leave a comment
Leave a comment