Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Sentensi za Mkurugenzi wa Wanachama Yanga SC ‘Tiketi 18,213 zimenunuliwa kuelekea mchezo dhidi ya USM Alger’
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Sentensi za Mkurugenzi wa Wanachama Yanga SC ‘Tiketi 18,213 zimenunuliwa kuelekea mchezo dhidi ya USM Alger’
Sports

Sentensi za Mkurugenzi wa Wanachama Yanga SC ‘Tiketi 18,213 zimenunuliwa kuelekea mchezo dhidi ya USM Alger’

May 25, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Ni Young Africans ambapo leo Mei 25, 2023 imefanya Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu kuelekea mechi ya Jumapili hii katika Uwanja wa Mkapa.

Akizungumza na Waandishi wa habari katika Mkutano huo Mkuurugenzi wa Wanachama na Mashabiki Young Africans SC Haji Mfikirwa alisema..’Mpaka sasa wadau wameshanunua tiketi 18,213 na tunawaomba kuwasisitiza wadau ambao wametoa ahadi ya manunuzi ya tiketi hizo kukamilisha ahadi yao kwa wakati pia Klabu itaandaa utararibu mzuri wa ugawaji wa tiketi hizi ili kuwafikia wengi, tutangalia pia watu kutoka mikoani tuone namna ambavyo tutawafikia pia” Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki Young Africans SC Haji Mfikirwa.

“Tulianza kwenda kwenye vyuo mbalimbali lakini kwa sasa tumesitisha utaratibu huo, tutazingatia mambo kadha wa kadha kuelekea utaratibu mpya, kwanza tungependa kuwaomba wale ambao watapewa tiketi wafike uwanjani na yoyote atakayepewa tiketi tungeomba wasiuze tiketi hiyo kufanya hivyo ni kukiuka malengo na matarajio ya klabu” Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki Young Africans SC Haji Mfikirwa

 

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

Edwin TZA May 25, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article UDSM waanzisha programu ya kufundisha mtaala wa kilimo kusaidia vijana kujiajiri
Next Article Mkuu wa Wilaya ya Korogwe aandaa mbio za Mama wajawazito ‘MAMATHON’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?