Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Serikali inapoteza Trilioni 1.2 kwa pombe bandia
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
September 22, 2023
Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Serikali inapoteza Trilioni 1.2 kwa pombe bandia
Top Stories

Serikali inapoteza Trilioni 1.2 kwa pombe bandia

March 16, 2022
Share
6 Min Read
SHARE

Serikali imetoa agizo kwa wazalishaji wa bidhaa mbalimbali nchini kurasimisha bidhaa zao na kutoa onyo kwa wale ambao watakao kwenda kinyume na agizo hilo.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe leo tarehe 16 Machi 2022 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa ziara ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda na biashara katika kiwanda cha Konyagi nchini (TDL).

Amesema kuwa wazalishaji watakaozalisha bidhaa zisizorasimishwa watachukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa wamekuwa wakiikosesha serikali mapato.

“Sisi kama Wizara tutahakikisha wale ambao wanazalisha nje ya utaratibu tutawasaidia warasimishe lakini wale watakaoendelea na uzalishaji wa bidhaa bandia watachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kuwakamata na kuharibu bidhaa hizo zinazouzwa kwa njia ya panya”,

“Tunautaratibu wa kusimamia wazalishaji ili wazalishe kwa tija na wasaidie uchumi wa nchi” ameeleza Naibu Waziri Kigahe.

Kwa upande wake David Kihenzile Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda na Biashara na pia Mbunge wa Mufindi Kusini , amesema kuwa kamati hiyo ipo kwenye zaira ya kutembelea viwanda , taasisi mbalimbali zinazohusu biashara na mazigira, na kwamba wamefiki kwenye kiwanda cha TDL kwa ajili ya kuona uzalishaji na changamoto zao.

Amesema kamati hiyo imesikia kilio cha wazalishaji hao kuwa bidhaa bandia zinazouzwa mitaani imekuwa kikwazo kwenye bidhaa zao.

Amesema wamemewasikia TDL wakidai kuwa takribani Asilimia 55 ya bidhaa zinazouzwa mitaani ni bandia .

“Kama kweli hali ipo hivyo ni hatari na kwamba serikali inakosa karibia Shilingi 1.2 Trilion za kodi kwa mwaka mmoja…ukisikia hivyo unawaza kiasi hicho kingejenga barabara ngapi, vituo vya afya vingapi tungepata dawa kiasi gani kwa unaona madhara yake” Amesema Kihenzile.

Amesema kuwa Kamati hiyo imemuomba Waziri achukulie uzito suala hilo na kwamba serikali iwashauri wazalishaji bidhaa bandia kuacha kitendo hicho.

Naye Mkurugenzi wa Mawasiliano wa TDL Mesiya Mwangoka ameoimba Serikali kutengeneza adhabu ngumu zaidi ili wale wote wanaohusika na kutengeneza bidhaa bandia wasiweze kuendelea kufanya hiyo biashara.

“Tunaomba serikali kutunga sera kali zaidi kwani sera za sasa hivi zinamuwezesha yule anayetengeneza bidhaa bandia kuendelea na biashara yake, faini zake ni ndogo sana unakuta mtu anazalisha bidhaa bandia ya milioni mia mbili, faini yake analipa milioni mbili lazima aendelee kuzalisha kwa sababu haoni hasara kwa kuwa adhabu anayopewa ni ndogo sana na haimfanyi yeye kuvunja ile biashara”, amesema Mwangoka.

“Tumefanya utafiti Mwaka jana sisi kama TDL kupitia wakaguzi inaonyesha serikali inapoteza kwa mwaka takribani Trilioni 1.2 kutokana na bidhaa bandia zilizopo mtaani” amesema Meseia.

Lengo kubwa la Kamati kwenda TDL ni kuangalia namna gani ya kutatua tatizo la bidhaa bandia huko mitaani, Wameangalia serikali inaweza kufanyaje kutatua tatizo hilo na imeonyesha nia ya kusaidia kiwanda hicho

Amesema kamati hiyo imesikia kilio cha wazalishaji hao kuwa bidhaa bandia zinazouzwa mitaani imekuwa kikwazo kwenye bidhaa zao.

Amesema wamemewasikia TDL wakidai kuwa takribani Asilimia 55 ya bidhaa zinazouzwa mitaani ni bandia .

“Kama kweli hali ipo hivyo ni hatari na kwamba serikali inakosa karibia Shilingi 1.2 Trilion za kodi kwa mwaka mmoja…ukisikia hivyo unawaza kiasi hicho kingejenga barabara ngapi, vituo vya afya vingapi tungepata dawa kiasi gani kwa unaona madhara yake” Amesema Kihenzile.

Amesema kuwa Kamati hiyo imemuomba Waziri achukulie uzito suala hilo na kwamba serikali iwashauri wazalishaji bidhaa bandia kuacha kitendo hicho.

Naye Mkurugenzi wa Mawasiliano wa TDL Mesia Mwangoka ameoimba Serikali kutengeneza adhabu ngumu zaidi ili wale wote wanaohusika na kutengeneza bidhaa bandia wasiweze kuendelea kufanya hiyo biashara.

“Tunaomba serikali kutunga sera kali zaidi kwani sera za sasa hivi zinamuwezesha yule anayetengeneza bidhaa bandia kuendelea na biashara yake, faini zake ni ndogo sana unakuta mtu anazalisha bidhaa bandia ya milioni mia mbili, faini yake analipa milioni mbili lazima aendelee kuzalisha kwa sababu haoni hasara kwa kuwa adhabu anayopewa ni ndogo sana na haimfanyi yeye kuvunja ile biashara”, amesema Mwangoka.

“Tumefanya utafiti Mwaka jana sisi kama TDL kupitia wakaguzi inaonyesha serikali inapoteza kwa mwaka takribani Trilioni 1.2 kutokana na bidhaa bandia zilizopo mtaani” amesema Meseia.

Lengo kubwa la Kamati kwenda TDL ni kuangalia namna gani ya kutatua tatizo la bidhaa bandia huko mitaani, Wameangalia serikali inaweza kufanyaje kutatua tatizo hilo na imeonyesha nia ya kusaidia kiwanda hicho

Amesema kuwa TDL inajitahidi kupanua soko la uzalishaji wa wine na inampango wa kuongeza nguvu kwenye kilimo cha Zabibu na kwamba wameiambia kamati hiyo kulitazama suala hilo kisera.

Amesema kuwa TDL inajitahidi kupanua soko la uzalishaji wa wine na inampango wa kuongeza nguvu kwenye kilimo cha Zabibu na kwamba wameiambia kamati hiyo kulitazama suala hilo kisera.

 

Mwisho.

You Might Also Like

Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’

Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF

GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka

Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA March 16, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Live: Rais Samia akutana na Watu wenye Ulemavu Ikulu Chamwino-Dodoma
Next Article Korea Kaskazini warusha kombora lingine, vipi Urusi na Ukraine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
Top Stories September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
Top Stories September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
Top Stories September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
Sports September 22, 2023

You Might also Like

Sports

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

September 22, 2023
Sports

Xavi kuongeza mkataba wa Barcelona hadi 2025

September 22, 2023
Top Stories

Kuelekea fainali ya polisi jamii DPA cup mashabiki wajigamba afisa michezo atoa neno

September 22, 2023
Top Stories

UN yaitaka Iran kuachana na sheria mpya kuhusu hijab

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?