Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Utalii wa madini, ajenga mgodi ndani ya jengo
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Utalii wa madini, ajenga mgodi ndani ya jengo
Top Stories

Utalii wa madini, ajenga mgodi ndani ya jengo

January 12, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya Waziri wa Madini, Dkt Dotto Biteko kuzindua kituo cha shughuli za utalii wa madini pamoja na uuzaji wa madini hatimaye kituo hicho kimetengeneza maporomoko ya maji nakuyapa jina la Rais wa Tanzania

Dkt Biteko wakati akizindua kituo hicho cha Tanzanite Experience kilichopo Kibaoni wilayani Karatu Mkoani Arusha amesisitiza Serikali kupitia Wizara hiyo kuendelea kushirikiana na wawekezaji wa sekta ya Madini Katika kuongeza thamani shughuli za Utalii wa Madini ya Tanzanite ikiwa ni zao jipya la Utalii nchini Tanzania kufutia Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupigia chapuo madini hayo kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania.

Akiwa Mkoani Arusha eneo la Kibaoni nje kidogo ya Wilaya Karatu, katika uzinduzi wa kituo cha Tanzanite Experience ambacho ni maalumu kwa ajili ya shughuli za Utalii pamoja na uuzaji wa Madini ya Vito nchni.

Mkurugenzi wa kituo hicho Hasnain Sajan amesema lengo la kuweka maporomoko hayo ni kutambua kazi anayoifanya Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na Kwa sasa kituo hicho kimeajiri zaidi ya watanzania 80, na uwekezaji wake u atajwa kufikia zaidi ya bilioni 1.4 za kitanzania.

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 12, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 12, 2023
Next Article Video: Mandonga akiwa nchini Kenya aulizwa kuhusu Mwakinyo asema “Ni Bondia wa Mchongo”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?