Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Serikali yaipongeza Sekta binafsi kuzalisha ajira
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
September 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Serikali yaipongeza Sekta binafsi kuzalisha ajira
Top Stories

Serikali yaipongeza Sekta binafsi kuzalisha ajira

May 22, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Serikali, imeipongeza Sekta Binafsi, kwa mchango wake wa kuitimiza azma ya uzalishshaji wa ajira mpya , milioni 8 kufikia mwaka 2025 na kuahidi  itazifanyia mapitio sheria zote za biashara ili kuboresha zaidi mazingira ya kufanya biashara nchini na kuiwezesha sekta binafsi kuzalisha ajira zaidi na zaidi na kuchangia kukua kwa uchumi na kuongeza pato la taifa.

Ahadi hiyo imetolewa na jana na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Ashatu Kijaji, katika hafla ya kuwakabidhi zawadi za fedha taslimu Shilingi milioni 100, kwa washindi watatu wa kwanza wa shindano la ubunifu wa miradi kwa vijana wa Kitanzania, iliyofanyika jana usiku katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijjini  Dar es Salaam.

Katika Hotuba  ilityosomwa kwa niaba yake na Naibu Katibu Mkuu, Bw. Ali Gugu, Waziri Kijaji amesema, sekta binafsi ndio injini ya uchumi wa taifa, hivyo serikali ya awamu ya 6,  serikali imeahidi itaendelea kuboresha mazingira ya kufanya biashara ili wajasiriamali wadogo na wakati, wakuwe na kuzalisha kada ya mamilionea na mabilionea wa Kitanzania ambao watachangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa.

Ali Gugu, ameipongeza Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies kwa shindano hilo, na kutoa zawadi  za zaidi ya shilingi milioni 100, kati ya hizo, washindi watatu wa mwanzo, kila mmoja amepewa hundi ya shilingi 20 za Kitanzania kuboresha mitaji yao na  kuwalea kwa mwaka mmoja kwa kuwapatia mafunzo ya kuwajengea uwezo, na kuwaangazia fursa za masoko.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa TotalEnergies Tanzania, Jean-Francois Schoepp, mesema lengo  la kampuni ya TotalEnergies, isio tuu kufanya biashara na kuzalisha faida, bali kuitumia hiyo faida inayopatikana na kuwajengea uwezo na wengine ili kuwainua Watanzania na kuliinua taifa kiuchumi.

Mkurugenzi Mkuu wa TotalEnergies Tanzania,Jean-Francois Schoepp, na Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano, Getrude Mpangile, wanaeleza zaidi.

Shindano hilo la  “STARTUPPER OF THE YEAR CHALLENGE BY TOTALENERGIES limefanyika katika nchi zaidi ya 50 barani Afrika, kwa Tanzania, wamejitokeza wajasiriamali zaidi ya 1000 kushiriki shindano hilo

You Might Also Like

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA May 22, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 22, 2022
Next Article Mtanzania mwenye ng’ombe anayeuzwa Milioni 12 ‘Nauzia Mbwa maziwa’ (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
Sports September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
Top Stories September 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

September 29, 2023
Entertainment

Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad

September 29, 2023
Sports

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

September 29, 2023
Top Stories

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?