Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Serikali yataja sababu kupanda bei ya cement
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Serikali yataja sababu kupanda bei ya cement
Top Stories

Serikali yataja sababu kupanda bei ya cement

November 24, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Serikali imesema kuwa kupanda kwa bei za Saruji katika kipindi cha mwezi September -November 2021 kulisababishwa na mfumo wa usambazaji wa bidhaa hiyo na hautokani na kupanda kwa gharama za uzalishaji viwandani kwa sababu hiyo ongezeko la bei ya saruji linachukuliwa kuwa halikuwa halali.

Kwa upande wa ongezeko la bei za bidhaa zinazotokana na malighafi ya vyuma (Mabati na nondo) Serikali imesema kupanda kwa bei hiyo kulitokana na kupanda kwa bei za malighafi kutoka nje ya nchi kwa kuwa malighafi za bidhaa hizo kutoka ndani hazitoshelezi.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo wakati akizungumzia tathmini iliyofanywa kuhusu mwenendo wa uzalishaji, usambazaji na bei za vifaa vya ujenzi hususan saruji, mabati na nondo katika mikoa tisa kwa kipindi cha mwezi September -November 2021 katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, Kilimanjaro, Mbeya, Mwanza, Pwani, Shinyanga na Ruvuma.

Waziri Mkumbo amesema bei za Saruji zimepanda kwa wastani wa shilingi 1,000. kwa upande wa Mabati matokeo ya tathmini yanaonyesha kuwa bei ya mabati imepanda kwa wastani wa asilimia 5.5 kwa mfano Mwanza imepanda kutoka shilingi 31,700 hadi shilingi 33,400, Dar es salaam bei imepanda kutoka shilingi 28,000 hadi 29,000.

Akizungumzia hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Serikali katika kukabiliana na upandaji usiohalali wa bidhaa muhimu nchini Waziri Mkumbo amehihimiza tume ya ushindani kufuatilia kwa karibu mwenendo wa upangaji bei nchini na kuwachukulia hatua stahiki za kisheria wafanyabiashara ambao wanakiuka sheria ya ushindani nchini aidha ameahidi kurekebishwa kwa sheria na kanuni mbalimbali ili kuruhusu kuingizwa kwa urahisi zaidi malighafi zinazohitajika katika uzalishaji wa bidhaa za vyuma ikiwemo kuruhusu kuingizwa kwa vyuma chakavu kutoka nje kwa utaratibu utakaohakikisha kuwa bidhaa hiyo inapatikana nchini lakini bila kuathiri afya ya mazingira ya nchi yetu.

WAVAMIZI WAUA TWIGA, SWALA “WACHOMA SHAMBA, MALI ZAIDI MILIONI 60 ZATEKETEA”

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA November 24, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Watakaopewa mimba ruksa kurudi shule” Ndalichako
Next Article Benzema ahukumiwa mwaka mmoja jela
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?