Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Shakira akubali kulipa bil 19.9 kukwepa kifungo cha miaka 3 gerezani.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Entertainment > Shakira akubali kulipa bil 19.9 kukwepa kifungo cha miaka 3 gerezani.
Entertainment

Shakira akubali kulipa bil 19.9 kukwepa kifungo cha miaka 3 gerezani.

November 20, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Mwimbaji staa kutoka nchini Colombia, Shakira (46) amepigwa faini ya pauni milioni 6.4 ikiwa ni sehemu ya makubaliano yatakayomfanya aepukane na kifungo cha jela na kuhitimisha kesi ya ulaghai iliyoendelea kwa muda mrefu jijini Barcelona nchini Hispania.

Mwimbaji huyo mwenye utajiri unaofikia thamani ya takriban pauni milioni 240, atatozwa faini ya pauni milioni 6.4 (Tsh Bil 19.9) kwa makosa sita ya ukwepaji wa kodi aliyokiri kama ni sehemu ya mkataba uliotangazwa mahakamani leo.

Staa huyo tayari alikuwa amelipa ushuru ambao maafisa wa Hispania walikuwa wamemshtumu kwa kukwepa, ambayo kwa riba kubwa ilifikia karibu pauni milioni 15 Pia atalazimika kulipa faini ya £378,000 (Tsh Bil 1.1) ili kuepuka kifungo cha miaka mitatu jela.

Nyota huyo wa kimataifa alifika katika mahakama ya Barcelona mapema hii leo kwaajili ya kuskiliza kesi yake ya madai ya kulaghai serikali ya Hispania pauni milioni 12.5 (€14.5m) kutokana na mapato aliyotengeneza kati ya mwaka 2012 na 2014.

Suluhu ilifikiwa muda mfupi baadae, huku Shakira ambae jina lake kamili ni Shakira Isabel Mebarak Ripoll akimwambia hakimu msimamizi kwamba amekubali makubaliano yaliyofikiwa na waendesha mashtaka.

Katika taarifa iliyotolewa na timu yake, Shakira alisisitiza kuwa hakuwa na hatia lakini alisema alichukua uamuzi wa kulipa kiasi hicho cha fedha kwasababu asingependa kuwaona watoto kumwona akipitia chanagamoto.

You Might Also Like

Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

Geena TZA November 20, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mashariki mwa DRC: 7 wauawa katika mapigano ya bunduki, mapigano dhidi ya M23
Next Article Baada ya miezi 7 ya vita, Sudan inakabiliwa na hatari ya kusambaratika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023

You Might also Like

Entertainment

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

December 8, 2023
Entertainment

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

December 8, 2023
Entertainment

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

December 8, 2023
Entertainment

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

December 7, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?