Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING: Jeshi polisi DSM wametoa siku 3 kwa Sheikh Ponda kujisalimisha
Share
Notification Show More
Latest News
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > BreakingNews > BREAKING: Jeshi polisi DSM wametoa siku 3 kwa Sheikh Ponda kujisalimisha
BreakingNews

BREAKING: Jeshi polisi DSM wametoa siku 3 kwa Sheikh Ponda kujisalimisha

October 12, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Jana October 11 2017 katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda alikutana na waandishi wa habari kwa ajili ya kuzungumza kuhusu safari yake ya Nairobi nchini Kenya alikokwenda kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Taarifa zilizoripotiwa jana ni kuwa baada ya mkutano huo na wandishi wa habari polisi walifika eneo kwa ajili ya kumkata Sheikh Issa Ponda lakini hawakufanikiwa.

Sasa leo October 12 2017  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa wakati akizungumza na waandishi wa habari amesema wametoa siku tatu kwa Sheikh Ponda ili kujisalimisha kituo cha polisi na asipojisalimisha watampata sehemu yoyote.  Sheikh Ponda anatuhumiwa kutoa lugha za uchochezi. Unaweza kubonyeza play hapa chini kutazama

Unaweza kutazama mkutano wote wa Kamanda Mambosasa na waandishi wa habari kwa kubonyeza play hapa chini, AyoTV ilikuwa LIVE

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 29, 2021

PICHA: Mapokezi ya Timu ya Taifa ya Guinea ikitokea CHAN Cameroon

Simba waifuata AS Vita nchini Congo DR, Mkude hayupo tayari anahitaji muda

PICHA 9: Usiku huu jijini DSM foleni iliyosababishwa na mvua

TAGGED: top stories
Edwin Kamugisha TZA October 12, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Wahujumu uchumi wafikishwa Mahakamani Kisutu leo
Next Article HEKAHEKA:Ushirikina wamuua kijana, mkewe ahamishia kesi kwa wakwe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

March 22, 2023
Top Stories

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?