Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: KESI YA HAMISA NA DIAMOND: Sheria inasemaje anachodai Hamisa? Diamond je?
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
September 29, 2023
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad
September 29, 2023
Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea
September 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > KESI YA HAMISA NA DIAMOND: Sheria inasemaje anachodai Hamisa? Diamond je?
AyoTVHabari za Mastaa

KESI YA HAMISA NA DIAMOND: Sheria inasemaje anachodai Hamisa? Diamond je?

October 6, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya taarifa kusambaa kuwa Mrembo Hamisa Mobeto ambae ni Mzazi mwenzake na Diamond Platnumz kwamba amempeleka Staa huyo Mahakamani kwa madai ya kutomuhudumia mtoto wake, Mwanasheria wa kujitegemea Jebra Kambole amefungua picha kamili ya sheria yenyewe.

Jebra amesema “Kwanza Sheria ya mtoto ya mwaka 2009 inapiga marufuku kwa mtu yeyote ambae ni Mwandishi wa Habar kutoa taarifa au picha za Mtoto ambae kuna kesi yake Mahakamani lakini kwa kesi ambazo zinahusiana na Wazazi au madai ya matunzo ya mtoto hiyo sio kesi ya mtoto bali ya Watu wazima”

“Kesi za Wazazi kwa Wazazi Baba na Mama wanapopelekana kuhusu matunzo ya mtoto ni kesi ambazo ni za kimadai na zinaendeshwa kwa mujibu wa sheria ya madai, Wazazi wanapodaiana kuhusu matunzo Mahakama inazingatia kuangalia zaidi mtoto wakati wa kuendesha shauri hilo”

“Mahakama mara nyingi kwenye kesi kama hii inazingatia madai na kuyapima, wakati wa kutoa gharama za matunzo Mahakama inaangalia vitu kadhaa ukiwemo uwezo wa kipato cha Wazazi wote wawili lakini pia inaangalia majukumu ya kiuchumi ya Mzazi anaedaiwa”

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: bongoflevanews
Millard Ayo October 6, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Idris kaelezea tena kuhusu post yake kwa Diamond iliyomkera Hamisa
Next Article Imamu ahukumiwa jela kwa kubaka mtoto
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
Sports September 29, 2023
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu
Top Stories September 29, 2023
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA
Top Stories September 29, 2023
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad
Entertainment September 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Top Stories

Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

September 29, 2023
Sports

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

September 29, 2023
Top Stories

Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?