Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mambo 7 yaliyosemwa na abiria aliekuwemo kwenye boti inayodaiwa kuacha watu baharini ikitokea Pemba.
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
December 5, 2023
Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+
December 5, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Mambo 7 yaliyosemwa na abiria aliekuwemo kwenye boti inayodaiwa kuacha watu baharini ikitokea Pemba.
Mix

Mambo 7 yaliyosemwa na abiria aliekuwemo kwenye boti inayodaiwa kuacha watu baharini ikitokea Pemba.

January 5, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

latest newsHaya ni maelezo ya shuhuda Mohamde Hamis ambae alikua miongoni mwa abiria ndani ya boti.

1. Boti ilipofika Nungwi sehemu yake ya mbele ilizama na mabegi yake na iliporudi juu ikazima na kuzunguka palepale, dakika tano baadae ikawaka ndio tukaondoka watu wengine wakiwa wamebaki kwenye maji wanaelea.

2. Baada ya boti kuwaka ndio wale watu waliobaki kwenye maji wakatupiwa viokozi vya upepo ndio boti ikaendelea na safari.

3. Hatujui ni watu wangapi waliobaki kwenye maji ila hakuna baharia hata mmoja alieshuka kutoka kwenye boti kwenda kwenye maji.

4. Tulipokaribia bandarini Znz tulitangaziwa kwamba hatutapelekwa bandarini kushuka mpaka tuvue life jacket tulizozivaa baada ya dhoruba ili tusionekane nazo manake walitaka habari zisivuje.

5. Wale waliorushwa kwenye maji walichukuliwa na wimbi, watoto na watu wazima nilikua nawaona kabisa wametupwa kwenye maji.

6. Sehemu ya watu walioachwa baharini ni miongoni mwa waliokua wamelala kwenye sehemu ya boti iliyozama, kina mama na wengine waliowepesi kutapika ndio ilibidi wakae nje kwenye hii sehemu ili wapigwe na upepo.

7. Ni ngumu kujua walikua watu wangapi waliokuwemo pale mbele kwenye sehemu iliyozama ila ni zaidi ya 20.

Kwa uthibitisho zaidi unaweza kumsikiliza huyu shuhuda hapa chini..

You Might Also Like

Barrick Tanzania kinara tuzo ya Muajiri bora 2023

Wanafunzi wazidi kunufaika na elimu ya kupinga ukatili

Mgodi wa Barrick Mara kinara kodi ya Mauzo ya nje

Serengeti waunga mkono usawa wa kijinsia

Ditto Mahakamani kudai fidia ya Tsh Bilioni 6

Millard Ayo January 5, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha za mwanzo, uthibitisho wa tukio la watu waliorushwa baharini kutoka kwenye boti wakitokea Pemba
Next Article Kuhusu wanachama wa Chadema waliovuliwa uanachama leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
Top Stories December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
Top Stories December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
Sports December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
Sports December 5, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

December 5, 2023
Sports

Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi

December 5, 2023
Top Stories

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

December 5, 2023
Top Stories

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

December 5, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?