Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Shule ya Ibun Jazar wakomalia maadili mema kwa Viongozi wajao
Share
Notification Show More
Latest News
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023
May 30, 2023
Beyonce atoa pongezi za muziki kwa idol wake marehemu Tina Turner.
May 30, 2023
Marekani kuzingatia vikwazo vya visa kuhusu sheria ya Uganda dhidi ya mashoga
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Shule ya Ibun Jazar wakomalia maadili mema kwa Viongozi wajao
Top Stories

Shule ya Ibun Jazar wakomalia maadili mema kwa Viongozi wajao

May 25, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Wazazi weshauriwa kuwapelekea vijana wao kwenye shule za Ibun Jazar kwani shule hizo ni za Kiislam na zenye malengo yakutoa elimu yenye maadili mema.

Mkurugenzi wa Shule hizo Sheikh Othman Ali Kaporo alisemaJijini Dar es Salaam hivi karibuni kuwa shule hizo malengo yakeni kutoa elimu bora kwa vijana inayoambatana na maadili mema.

“Shule hizi zina mlengo ya kuwalea watoto katika maadilimema  kupitia a kitabu cha Quran tukufu na  hivyo basizimeweza kutoa vijana wengi wenye maadili mema na wakatihuo huo wakiwa na kiwango cha elimu chenye kuridhisha,” anasema.

Anasema kuwa mafanikio yote hayo yametokana na juhudi zawatendaji wakuu wa taasisi wakiwamo walimu wakuu,mameneja wa shule za Ibun Jazar katika kufikisha ujumbe naelimu bora kwa vijana.

“Ibun Jazar ni miongoni mwa watu wanaochangia kuzalishanguvu kazi imara , ulimwengu hivi sasa unalia na vitu sanamiongoni mwavyo ni watu kupokea rushwa katika baadhi yataasisi,” anasema .

Kutokana na hilo anasema taasisi yake inale vijana nakuwafundisha kuwa rushwa ni adui wa haki na ni dhambi mbeleya Mwenye zi Mungu kutoa au kupokea rushwa .

Anafafanua kuwa ,malezi haya ya kiroho na kiimani ndiyo vitupekee vinavyoweza kuisaidia jamii kuwa na maadili memahivyo naiomba jamii tushirikiane ili kujenga jamii bora yaKitanzania.

Naye na Meneja wa Shule ya Sekondari ya Ibun Jazar Mtoto Bakari anasema kuwa shule hizo vijana wanahifadhi Qurantukufu , wanafundishwa elimu ya dini na masomo ya kawaida .

“Kikubwa ambacho tunaomba umma ufahamu ni kwambatunawafundisha vijana kuwa na maadili mema ili wanapotokahapa kwenda kulitumikia taifa wawe ni vijana wenye maadilimema kwa taifa lao,”

Anasema pia kuwa utafiti umeonyesha kuwa vijanaanapofundishwa kuhifadhi Quran tukufu basi hata uwezo wake wa kuelewa masomo mengine unakuwa mkubwa.

Shule ya Msingi Ibun Jazar na Sekondari zipo Vikindu WilayaMkuranga Mkoa wa Pwani na hadi sasa zimeshasomesha vijanawengi ambao wamemaliza vyuo vikuu mbalimbali na kwa sasataasisi hiyo inasomesha vijana wengine katika vyuo vikuumbalimbali .

Akizungumzia matokeo ya mwaka jana kidato cha nne anasemakatika watahiniwa 69 , waliofaulu kwa daraja la kwanza walikuwa 58 na daraja la pili 11.

You Might Also Like

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023

Marekani kuzingatia vikwazo vya visa kuhusu sheria ya Uganda dhidi ya mashoga

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.

Pascal Mwakyoma TZA May 25, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jela kwa kujifanya Usalama wa Taifa
Next Article Madiwani Ngorongoro waigomea Rasimu ya mpango wa matumizi ya ardhi “Madiwani hawajui kiingereza”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
Top Stories May 30, 2023
Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023
Top Stories May 30, 2023
Beyonce atoa pongezi za muziki kwa idol wake marehemu Tina Turner.
Entertainment May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

May 30, 2023
Top Stories

Marekani kuzingatia vikwazo vya visa kuhusu sheria ya Uganda dhidi ya mashoga

May 30, 2023
Top Stories

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.

May 30, 2023
Top Stories

Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?