Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Silent Ocean watoa ahadi Tsh milioni 30 Prisons ikiifunga Simba SC
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Silent Ocean watoa ahadi Tsh milioni 30 Prisons ikiifunga Simba SC
Sports

Silent Ocean watoa ahadi Tsh milioni 30 Prisons ikiifunga Simba SC

December 28, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Kuelekea mchezo wa Simba SC dhidi ya Prisons utakaochezwa Ijumaa ya December 30 2022 katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mkurugenzi wa Silent Ocean Salaah Said Mohamed kupitia kwa Meneja Masoko wa Silent Ocean Mohamed Kamilagwa ameahidi kuwa ataipa Prisons kiasi cha Tsh milioni 30 kama itaifunga Simba SC katika mchezo huo na sare ataipa Tsh milioni 10.

“Hawa vijana wakipewa hamasa wana athari kubwa sana kwa hiyo sasa wanakwenda tarehe 30 (vs Simba SC), jana tulikuwa kambini kwao wakijiandaa na sisi tukawaambia Mtendaji Mkuu wetu Salaah Said Mohamed kasema kwamba hawa vijana kwa juhudi wanayoifanya akasema kwa nini tusiwape milioni 30 wakishinda lakini ikitokea bahati mbaya wakaenda sare wapate milioni 10”>>> Kamilagwa

Silent Ocean ni wadhamini wakuu wa Tanzania Prisons na wamekuwa na utamaduni wakuwapa motisha wachezaji wanapocheza mechi, mechi yao dhidi ya Yanga SC walipewa ahadi ya Tsh milioni 20 kama wangeifunga na milioni 10 kama wangetoka sare.

You Might Also Like

Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

TAGGED: Sports
Rama Mwelondo TZA December 28, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 28, 2022
Next Article Nkane nje wiki sita Yanga SC
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?